Wednesday Jun 19, 2013
| Text Size
[-]
[+]
Pekua IPPmedia

Maoni ya Mhariri »

Ni Wajibu Wa Vyombo Vya Usalama Kudhibiti Ugaidi

Hakuna kitu kinachothaminiwa katika jambo lolote kama uzoefu. Uzoefu ni muhimu katika kazi, katika kutenda mambo kwenye kila jambo uzoefu husaidia kufanya mambo kwa umakini zaidi na kufikia malengo kwa wepesi na bila kutoka jasho jingi Habari Kamili

Kura ya Maoni»

Rasimu mpya ya Katiba. Je, unaunga mkono mfumo wa serikali tatu?

Getting poll results. Please wait...

Safu »

MTAZAMO YAKINIFU: Mtazamo wa baadhi ya serikali za Afrika
MAISHA NDIVYO YALIVYO: Mume anaenda masomoni anarudi umebeba mimba ya mwezi na nusu!
TUKUBALIANE KUTOKUKUBALIANA: Hii siyo Katiba, tusiwapotoshe Watanzania!
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (kushoto), akimfariji Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari, katika Hospitali ya Arusha Medical Lutheran Center (ALMC) alikolazwa baada ya kushambuliwa na watu wanaodhaniwa kuwa makada wa CCM Makuyuni, Monduli, mkoani Arusha juzi.

Lukuvi amchefua Mbowe

Taarifa ya serikali iliyosomwa bungeni jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, kuhusiana na tukio la shambulizi la bomu jijini Arusha Jumamosi iliyopita, imemchafua Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe Habari Kamili

Biashara »

Bajeti Yakosolewa Kutozungumzia Ukwepaji Kodi Saruji Ya Nje

Kiwanda cha Saruji cha Tanga (TCCL), kimesema kimesikitishwa na Bajeti ya Serikali ya mwaka 2013/13 kushindwa kueleza mikakati ya kuzuia ukwepaji kodi unaofanywa na watu wanaoingiza saruji nchini kutoka nje hasa kutoka Pakistani Habari Kamili

Michezo »

Stars, Ivory Coast Zaingiza Mil.500/-

Mechi ya mchujo ya mashindano ya Kombe la Dunia ya Kundi C kati ya Taifa Stars ya Tanzania dhidi ya Ivory Coast iliyomalizika kwa wenyeji kulala magoli 4-2 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi imeingiza Sh Habari Kamili

Makala »

Picha za Wiki »

Vibonzo »

Pata kibonzo chako kila siku toka kwa Kabwela, the Flexibles na Dogo

Luninga na Redio»