Saturday May 18, 2013
| Text Size
[-]
[+]
Pekua IPPmedia

Maoni ya Mhariri »

Tushikamane Kutokomeza Utapiamlo

Juzi Rais Jakaya Kikwete alianza kampeni ya kupambana na lishe duni kwa taifa hili kwa kushiriki katika uzinduzi wa kuweka viini lishe katika vyakula vinavyosambazwa nchini kama mafuta ya kula, unga wa ngano na ule wa mahindi, ili kuondokana na tatizo hilo ambalo linaelezwa kuendelea kukua kwa kasi nchini Habari Kamili

Kura ya Maoni»

Je, madai ya Mbunge kuwa serikali inatumbua sana ni ya kweli?

Getting poll results. Please wait...

Safu »

MTAZAMO YAKINIFU: CCM iziepuke 'siasa za ugaidi'
MTAZAMO YAKINIFU: Barua yangu kwa TAMISEMI
MTAZAMO YAKINIFU: Uozo sekta ya elimu: Haitoshi kurekebisha matokeo
Rais Jakaya Kikwete, akiangalia pakiti ya unga wa Muhogo ulioondolewa kemikali zinaoathiri mishipa ya fahamu, wakati alipotembelea mabanda mbalimbali yaliyokuwa yakionyesha bidhaa za vyakula na virutubisho wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha lishe bora kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam jana.

Tuhuma mawaziri kuuza dawa za kulevya balaa

Serikali imembana Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola, kwa kumtaka awasilishe ushahidi kuthibitisha kuwa baadhi ya mawaziri wanajihusisha na biashara ya dawa za kulevya Habari Kamili

Biashara »

Vyama Vya Ushirika Vyaonywa Kuacha Kuwaibia Wakulima

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, amewaonya viongozi wa vyama vya ushirika nchini kuacha tabia ya kuvifanya vyama hivyo kama vichaka vya kufanyia wizi Habari Kamili

Michezo »

Simba Yaichunguza Yaanga Videoni

Wakati vikosi vya Simba na Yanga vinatarajia kurejea jijini Dar es Salaam leo jioni tayari kwa mechi yao ya kukamilisha ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa kesho, wachezaji wa 'Wekundu wa Msimbazi' jana waliwafanya 'ushushushu' dhidi ya mahasimu wao kwa kuangalia video za mechi za mabingwa hao wapya kama njia ya kuwakabili Habari Kamili

Makala »

Picha za Wiki »

Vibonzo »

Pata kibonzo chako kila siku toka kwa Kabwela, the Flexibles na Dogo

Luninga na Redio»