|
China imewaathibu maafisa wake wa serikali
2006-10-24 14:08:06
Na EAR Habari
China imewaathibu maafisa zaidi ya elfu 17 na mia 5 wa serikali, katika miezi minane ya kwanza ya mwaka huu kuhusiana na masuala ya rushwa.
Kwa mujibu wa shirika la habari la Xinhua, idadi hiyo imekuja kipindi ambacho jimbo la Shanghai linakabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za serikali.
Mpaka sasa maafisa wawili wamekuwa watuhumiwa wakuu wa vitndo vya rushwa hiyo, na serikali ya nhi hiyo inaendelea na uchunguzi.
|