25 Oct 2006 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wanafunzi 3 wamekufa baada ya kufunikwa na mchanga
 
2006-10-25 14:48:40
Na EAR Habari

Wanafunzi watatu wa shule ya msingi Kilanga-langa, wilayani Namtumbo, Mkoani Ruvuma Nchini Tanzania, wamekufa baada ya kufunikwa na mchanga, na wengine wawili kujeruhiwa vibaya.

Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Ruvuma, Fulham Mshana, amesema watoto hao walipatwa na tukio hilo, wakati wakichimba mchanga wa kujenga nyumba, kazi ambayo walipewa na mjenzi wa nyumba hiyo.

Kamanda Mshana, ameyataja majina ya watoto hao waliokufa, kuwa ni Ismail Hocho, Furahya Komba, na Sophia Mbawala.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2005 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.