23 Mar 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

WHO hawana taarifa na utengenezwaji wa ARV Tanzania
 
2008-03-23 15:13:35
Na EAR Habari

Shirika la Afya Duniani WHO, limesema halina taarifa za kutengenezwa kwa dawa za kupunguza makali ya ukimwi ARVs, zinazoanza kutengenezwa nchini Tanzania kwa niaba ya serikali.

Msemaji wa Shirika hilo kwenye ofisi zake zilizoko Dar es Salaam, amesema wamefahamu kuhusu kutengenezwa huko kwa dawa hizo, kupitia vyombo vya habari vya ndani.

Kauli hiyo ya WHO imekuja baada ya mtengenezaji wa ndani wa dawa hizo kwa majaribio, kudai kuwa ametuma maombi kwa Shirika hilo akitaka kiwanda chake kukaguliwa, lakini hajapewa majibu mpaka sasa.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.