|
Kunatofauti kubwa ya wanafunzi wa kike na wakiume wanaufadhiliwa na serikali ya Uganda
2008-05-04 23:14:11
Na EAR Habari
Orodha ya wanafunzi wa chuo Kikuu wanaodhamianiwa na serikali nchini Uganda, imeonyesha tofauti kubwa kati ya wanafunzi wanawake na wanaume nchini humo.
Imefahamika kuwa kati ya wanafunzi wavulana na wasichana elfu tatu nchini humo, wanafunzi mia 9na elfu 40 tu kati yao ndio wasichana.
Pia orodha hiyo imeonyesha kuwa, wanafunzi wanaume wameendelea kutawala masomo ya sayansi wakati wanafunzi wasichana wamekujazana kati maosomo mchepuo wa Biashara.
|