04 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Maafisa wanapingana na ugaidi Kenya wachukua tahadhari ya hali ya juu
 
2008-05-04 23:14:56
Na EAR Habari

Maafisa wanaopinga ugaidi nchini Kenya, wako katika tahadhari ya hali ya juu, kufuatia tukio la kuuawa muislam anayeaminika kuhusiana na kiongozi wa kundi la Al Qaeda nchini Somalia wiki iliyopita.

Taarifa za vyombo vya habari vya ndani zimesema, upo wasiwasi kuwa magaidi waliopon katika sero za wauaji wa Al Qaaeda zilipo Somalia, wanaweza kulipiza kisasi cha mauaji hayo kwa kuwafanyia mashambulizi wa Amerika waliopo Marekani.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.