08 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Shule za sekondari nchini Uganda kupandisha ada kuanzia muhula ujao
 
2008-05-08 14:29:56
Na EAR Habari

Shule za sekondari nchini Uganda inasemekana zimepandisha ada kuanzia muhula ujao, kutokana na ongezeko la bei ya chakula hivi karibuni.

Wengi wa waalimu wakuu kutoka shule mbali mbali wamesema kuwa, kamati za utawala ziliidhinisha mfumo mpya wa ada ,muhula uliopita wa shule.

Shule ambazo hazijaongeza ada inasemekea zimeiandikia wizara ya elimu nchini humo, zikiomba kibali cha kuongeza ada, huku nyingine zikitaarifu kwamba zitapunguza baadhi ya shughuli ili kutoa huduma kwa wanafunzi.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.