09 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wanaume wengi hupendelea kuoa wanawake wenye fedha Uingereza
 
2008-05-09 16:32:41
Na EAR Habari

Utafiti uliofanyika nchini Uingereza umebainisha kwamba wanaume wengi hupendelea kuoa kwa ajili ya kunufaika kifedha ingawa imekuwa ikionekana kuwa wanawake huolewa kwa kufuata fedha.

Takwimu zinaonesha kwamba asilimia 19 ya wanaume wamekubali kuwa watafutaji wa mali na wangekuwa tayari kumuoa mwanamke mwenye uwezo waweze kunufaika kutoka na mali zake dhidi ya asilimia 11 ya wanawake.

Wakati asilimia 67 ya wanawake wanasema kwamba ni muhimi kujipatia fedha zao wenyewe,wakati asilimia 76 hawategemei wenza wao kuchukua nafasi ya maamuzi katika masuala ya fedha.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.