16 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Watu zaidi ya 50,000 wahofiwa kufa katika tetemeko nchini China
 
2008-05-16 15:23:27
Na EAR Habari

Rais wa China Hu Jintao yuko kusini magharibi mwa jimbo la Sichuan lililokumbwa na tetemeko na kusababisha maafa makubwa na ikihofiwa kuwa zaidi ya watu 50,000 wamekufa.

Shirika la uitangazaji la nchi hiyo Xinhua limesema kuwa watu 20,000 wamedhibitika kupoteza maisha katika jimbo hilo wakati maelfu ya watu hawajulikani walipo.

Rais Hu amesema kazi ya uokoaji imeingia katika hatua muhimu huku wakiendelea kuondoa mabaki ya nyumba zilizoanguka wakiwa na matumaini ya kuwapata watu wakiwa hai.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.