16 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Serikali ya Uganda imetangaza bei za manunuzi ya bidhaa
 
2008-05-16 15:33:11
Na EAR Habari

Serikali ya Uganda imetangaza bei za manunuzi ya bidhaa mbali mbali ambazo kwa sasa zinaendelea kupanda bei kutokana na uhaba ambao umejitokeza.

Mamlaka ya ununuzi na usimamizi na uangalizi wa mali za umma PPDA imeorodhesha bnidhaa mbali mbali zikiandamana na bei sahihi kwa wasambazaji na huduma zinazotolewa.

Orodha hiyo imetolerwa kwa kwa maafisa wanunuzi na wote wanaohusika na manunuzi na kwa njia ya kupia tenda.

  • SOURCE: EAR
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.