10 Jul 2006 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Sportsnews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Michuano ya ligi daraja la kwanza netiboli imeendelea jana
 
2006-07-10 11:50:29
By ITV Habari

Michuano ya ligi daraja la kwanza netiboli imeendelea jana kwenye viwanja vya gerezani kwa timu ya JKT Mbweni kuifunga Polisi Mara, magoli 45-33 wakati Polisi Morogoro nayo imeifunga Polisi mara magoli 46-35.

Katika mchezo mwingine manispaa ya ilala imeifunga Magereza Chuo, magoli 65-28 wakati magereza Morogoro iliifunga CMCU magoli 56-34.

Katika mechi zilizochezwa mchana timu ya Mapinduzi Dodoma iliifunga Polisi Arusha magoli 45-27.

  • SOURCE: ITV
TODAY
-----------------------------------------------
Editorial
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2005 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.