01 Nov 2006 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Norconsult inafanya uchunguzi wa vyanzo vipya vya maji
 
2006-11-01 11:28:40
Na ITV Habari

Kampuni ya norconsult inafanya uchunguzi wa vyanzo vipya vya maji kwa ajili ya jiji la Dar es Salaam.

Akijibu swali la mbunge wa Ilala Mh. Mussa Azan Zungu naibu waziri wa maji Mh. Shamsa Mwangunga amesema tatizola uhaba wa maji kw ajiji la Dar es Salaam litakwisha baada ya kukamilika mradi kabambe wa kupanua na kukarabati mfumo wa usambazaji maji safi nauondoaji maji taka jijini mwishoni mwa mwaka 2008 kwa garama ya shilingi bilioni 164.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2005 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.