|
Wachezaji wa gofu kuchuana
2008-05-08 14:32:43
By ITV Habari
Wachezaji zaidi ya arobaini wa mchezo wa gofu kutoka kiwanda cha sukari cha TPC Moshi wengine kutoka arusha na wenyeji Dar es Salaam kesho wanaingia kwenye uwanja wa gymkhana kupambana vikali katika mchezo huo.
Kocha msaidizi wa mchezo huo Stanley Sanga amesema mchezo huo ni wa kirafiki ambapo washindi watapambana na wachezaji wa kulipwa katika michuano itakayoandaliwa katika siku za baadaye.
|