13 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Mdahahalo wa kitaifa kuhusu uwezeshaji wananchi kiuchumi wamalizika
 
2008-05-13 10:57:32
Na ITV Habari

Mdahahalo wa kitaifa kuhusu uwezeshaji wananchi kiuchumi umemalizika kote nchini kukiwa na matumaini ya mabadiliko ya kiuchumi kupitia mikakati ya kanda za mikoa mbalimbali waliyojiwekea.

Katika mdhahalo uliofanyika kanda ya kati wakuu wa mikoa hiyo wamesema mbali ya kuwepo bajeti ya uwezeshaji wananchi kila mwaka changamoto kubwa ni kwa watendaji katika asasi za fedha kuwezesha wanachi kufikiwa na huduma hizo kwa wakati bila urasimu mwingi.

Kwa upande wake katibu mtendaji baraza la taifa la biashara TNBC Bw. Dunstan Mrutu amesema kufanikiwa kwa mkakati huo kutategemea zaidi jitihada za watendaji katika maeneo yao.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.