|
Mshindi wa Tuzo Point akabidhiwa hundi yake
2008-05-14 15:01:12
By ITV Habari
Mshindi wa droo kubwa ya programu ya Tuzo Point iliyokuwa ikiendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom amekabidhiwa zawadi yake ya shilingi milioni 40.
Mshindi huyo mchungaji fanuel msengi amekabidhiwa kitita hicho na mkuu wa kanda ya ziwa ya Vodacom Tanzania Stephen Kingu nyumbani kwake katika kijiji cha Mwanzugi wilaya ya Igunga mkoani Tabora baada ya kutangazwa mshindi katika droo iliyochezwa mwezi uliopita.
|