14 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Membe aelezea umuhimu wa mkutano wa Sullivan
 
2008-05-14 15:04:30
Na ITV Habari

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimatiafa Mhe. Bernard Membe amesema mkutano wa nane wa Sullivan utatoa fursa za uwekezaji, biashara utalii na utajenga msingi wa ushirikiano wa utalaamu.

Akizungumza katika hafla fupi ya kukabidhi hundi ya udhamini wa mkutano wa sullivan yenye thamani ya dola laki moja kwa ajili ya maandalizi ya mkutano huo kutoka benki ya CRDB waziri Membe amesema benki ya CRDB ndio itakayotoa huduma za kibenki katika mkutano huo.

Naye mkurugeni wa CRDB Dk. Charles Kimei amesema wanathamini mkutano huo kwa sababu utaleta faida kubwa kwa wafanyabiashara wa hapa nchini na maendeleo ya watanzania.



  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.