14 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wachimbaji wadogo wa dhahabu kuwekewa kiwango cha matumizi ya zebaki
 
2008-05-14 15:07:10
Na ITV Habari

Shirika la viwango Tanzania kwa kushirikiana na wataalamu kutoka wizara ya nishati na madini wamekubaliana kuweka kiwango kitakachokuwa kikitumika kudhibiti matumizi ya madini ya zebaki yanayotumiwa na wachimbaji wadogo kusafishia dhahabu.

Wakizungumza wakati wa mjadala wa kukamilisha kiwango hicho ambacho kitaanza kutumika hivi karibuni, mwenyekiti wa kamati ya viwango Bi Angelina Madete amesema kwa sasa wameaanza kuanishisha mwongozo utakaotumiwa ili kupunguza athari za madini ya zebaki yanayotumiwa kusafisha madini na kuharibu vyanzo vya mito na maji.



  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.