15 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Sportsnews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Walemavu kushiriki paraolimpiki China
 
2008-05-15 10:56:24
By ITV Habari

Katika hatua nyingine wachezaji wa timu ya watu wenye ulemavu wameonesha viwango vizuri vya kuwawezesha kushiriki katika michezo ya paraolimpiki itakayofanyika nchini China mwaka huu.

Akizungumza wakati wa mazoezi kocha wa timu hiyo Klinus Namajojo amesema pamoja na michezo hiyo wachezji hao wataenadelea kujinoa kwa ajili ya mashidnao mbali mbali yatakayofanyika mwaka huu ili kuhakikisha wachezaji hao wanakuwa na mazoezi ya kutosha.

  • SOURCE: ITV
TODAY
-----------------------------------------------
Editorial
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.