15 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Sportsnews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wavu Afrika Mashariki na Kati kuanza Mei 28
 
2008-05-15 10:57:53
By ITV Habari

Timu za mpira wa wavu za Jeshi Stars na Magereza ambazo zitashiriki katika mashindano ya Afrika Mashariki na Kati kuanza Mei 28 - June 1 zimeendelea na mazoezi mepesi kabla ya kuondoa kulekea nairobi nchini Kenya ambapo zitapambana na timu kutoka Uganda, Rwanda, Burundi, Kongo na wenyeji Kenya.

Akizungumza katika uwanja wa ndani wa taifa kocha wa timu ya Jeshi Stars Lameck Mashindano amesema pamoja na mazoezi waliyofanya timu yake haikufanikiwa kupata mechi ya majaribio ili kujipima nguvu kabla ya mashindano hayo.

  • SOURCE: ITV
TODAY
-----------------------------------------------
Editorial
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.