15 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

TCRA imetoa leseni kwa makampuni matano kwa ajili ya utoaji huduma za mawasiliano
 
2008-05-15 11:07:44
Na ITV Habari

Mamlaka ya mawasiliano Tanzania-TCRA imetoa leseni kwa makampuni matano kwaajili ya utoaji huduma mbalimbali za mawasiliano.

Akitoa leseni hizo jijini Dar es Salaam jana, mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Prof. John Nkoma amewataka wenye makampuni wazingatie kutoa huduma yenye kiwango bora.

Kwa upande mwingine baadhi ya washiriki wa maonyesho ya teknolojia ya mawasiliano yanayoendelea jijini , wamesema watanzania wanaonekana kuwa na ari ya kwenda sambamba na teknolojia mpya za mawasiliano kutokana na kujitokeza kwa wingi kutaka kujua teknolojia mbalimbali.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.