16 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Walioshiriki kongamano la kimataifa la kilimo na viwanda wamepata mafnikio
 
2008-05-16 14:23:33
Na ITV Habari

Wafanya biasahara wa hapa nchini ambao walishiriki kongamano la kimataifa la kilimo na viwanda vya usindikaji wa mwaka 2008 uliyomalizika hivi karibuni wamepata fursa ya kutanua masoko ya bidhaa zao nje ya nchi.

Wadau wa maendeleo wa kimataifa pamoja na uongozi wa kituo cha uwekezaji cha hapa nchini wamesema watanzania 53 walioshiriki mkutano huo wataweza kushiriki vyema biashara ndani ya Afrika na nje baada ya kushiriki mkutano huo uliowajumuisha na wenzao 483.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.