|
Watu wenye ulemavu wahamasishwe kwenye maonesho ya teknolojia ya mawasilino
2008-05-16 14:34:12
Na ITV Habari
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali mkoani Dar es Salaam wamewataka waandaaji wa maonyesho ya teknolojia ya mawasilino kuhakikisha wanajitahidi kuhamasisha watu wenye ulemavu kuja kupata elimu mbalimbali ya teknolojia ya sasa ili waweze kunufaika na maonesho hayo.
Wakizumgumza na ITV wanafunzi wa chuo cha IFM Bw. Nehemia Mkene amesema maonyesho hayo ya teknolojia ya mawasilano yanapaswa kuhakikisha yanawaangalia watu wenye ulemavu ili waweze kufaidika.
|