16 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Swahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Print this article Send this article

Wilbrod Slaa ashinda kesi ya uchaguzi
 
2008-05-16 14:37:09
Na ITV Habari

Mbunge wa karatu kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Wilbrod Slaa ameshinda kesi ya uchaguzi wa jimbo hilo baada ya mahakama kuu kanda ya Arusha kutupilia mbali kesi iliyofunguliwa na wanachama watatu wa chama cha mapinduzi,CCM ya kuitaka mahakama hiyo itengue matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi mbunge huyo.

Jaji Robert Makaramba katika hukumu yake iliyochukuwa saa mbili na nusu alitupilia mbali madai yote ya upande wa walalamikaji ingawa alikubaliana na kuwepo tatizo la kuhesabu kura lililoathri pande zote ambapo hata hivyo Dr. Slaa anabaki na kura nyingi zaidi ya mgombea wa CCM Patrick Tsere.

  • SOURCE: ITV
Habari za Leo
-----------------------------------------------
Maoni ya Mhariri
-----------------------------------------------
Business bits
-----------------------------------------------
Makala
 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.