|
Baada ya soo la kichwa: Miujiza mipya yazuka!
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Siku chache tu baada ya kijana Ramadhani Musa wa Jijini kufikishwa kortini na mzazi wake akikabiliwa na lile soo la kukutwa na kichwa cha binadamu miujiza...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 14
Maslahi duni yawakimbiza wahandisi...
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Serikali imeshauriwa kuinua pato la wahandisi nchini ili hatimaye waweze kuwavutia kwa vijana wengi kujiunga na fani hiyo ambayo kwa sasa ina uhaba wa wafanyakazi.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 3
Trafiki Dar atekwa
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Katika hali ya kushangaza, askari wa usalama barabarani wa Jijini Dar es Salaam almaarufu kama trafiki, ametekwa nyara.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 2
Malori `vimeo` Dar yapigwa stop
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Polisi Jijini wameyanasa malori 35 mabovu na yaliyo katika hali mbaya huku wakiyafutia leseni mawili baada ya kubainika kuwa yenyewe hayafai tena kutembea barabarani.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 5
`Tatizo la Wazanzibari ni kutoaminiana`
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Makete, Dk. Hassy Kitine amesema kuwa matatizo ya kisiasa visiwani Zanzibar yanasababishwa na hali ya kutoaminiana baina ya vyama viwili vikuu vya CCM na CUF.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 1
Mfanyabiashara anayedaiwa kununua vitu vya wizi Mbeya atiwa mbaroni
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Mfanyabiashara Richard Komba, 32, mkazi wa Jijini Mbeya anashikiliwa na Polisi mkoani humo baada ya kudaiwa kupatikana na vitu kibao vya wizi uliotokea katika maeneo mbalimbali.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 22
Mali za viongozi wa Mabatini SACCOS kupigwa mnada
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Mali za viongozi wawili wa Chama cha Ushirika, Akiba na Mikopo cha Mabatini SACCOS kilichoko Tandika wilaya ya Temeke, zimekamatwa kwa ajili ya kuzipiga bei kutokana na kushindwa kwao kurejesha mkopo waliokopa kutoka kwenye...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 35
Mwili wa mwanaume Dar waokotwa mtoni
Posted Sat, May,17 2008
Source Alasiri
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Shaaban Abdallah, 30, amekutwa amefariki dunia kwenye mto wa maji ya Chai Jijini.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 8
Wakulima wa kijiji cha Malula wagoma kutoa ardhi yao kwa serikali
Posted Sat, May,17 2008
Source Radio One
Wakulima wa kijiji cha Malula wilaya ya Arumeru wamegoma kutoa ardhi yao kwa serikali kwa ajili ya kujenga ukanda maalum wa kibishara na uchumi-EPZ wakidai kuwa hawajashirikishwa.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 95
Polisi watoza watumiaji barabara bila kutoa stakabadhi
Posted Sat, May,17 2008
Source Radio One
Polisi katika kituo cha Borega kilicho katika mpaka wa Tanzania na Kenya wilayani Tarime wanadaiwa kutoza kati ya shilingi elfu tano na elfu kumi kwa kila gari linalotumia barabara hiyo bila ya kutoa stakabadhi.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 55
|