12 May 2008 MAIN PAGE SITE INDEX CONTACT US HELP
  Kiswahilinews
NAVIGATION
SEARCH
 
SPECIAL  
ARCHIVES  
Kitaifa
 

Wanaowafungia watoto walemavu washitakiwe
Posted Sun, May,11 2008
Source Radio One
Watu wenye ulemavu mkoani Rukwa wameiomba serikali kuwachukulia hatua za kisheria wazazi wenye tabia ya kuwafungia ndani watoto wenye ulemavu kwa kuhofia kuchekwa.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 30

TASAF watumia shilingi milioni 9.5 Kisarawe
Posted Sun, May,11 2008
Source Radio One
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii -TASAF, wilayani Kisarawe, umetumia shilingi milioni 9.5 kusaidia mradi wa kilimo cha ufuta na karanga, kwa vikundi viwili vya wazee katika tarafa ya Mzenga wilayani humo.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 39

Daraja la Kiteputepu limeanza kuharibika
Posted Sun, May,11 2008
Source Radio One
Daraja la Kiteputepu linalounganisha wilaya za Sumbawanga na Mbozi limeanza kuharibika, hivyo kuzusha wasiwasi kwa watumiaji na kuzorotesha usafirishaji wa mazao kutoka mashambani na mifugo.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 7

Rukwa wapongeza mpango wa shamba darasa
Posted Sun, May,11 2008
Source Radio One
Baadhi ya wakulima mkoani Rukwa wameupongeza mpango wa mafunzo ya shamba darasa ambao wamesema utawawezesha kuacha kilimo duni kisichokuwa na tija cha maeneo makubwa na kuchangia uharibifu mkubwa wa mazingira.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 19

Wanaouza mafuta ya petroli na dizeli kinyume cha sheria kusakwa Z`bar
Posted Sun, May,11 2008
Source Radio One
Bodi ya Mapato Zanzibar-ZRB kwa kushirikiana na jeshi la polisi katika mkoa wa Mjini na Magharibi imeanzisha operesheni maalum kuwasaka wauzaji wa mafuta ya petroli na dizeli kinyume cha sheria katika manispaa ya Zanzibar.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 33

Rais Museven na Joseph Kabila kutua Dar leo
Posted Sun, May,11 2008
Source ITV
Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Rais Joseph Kabange Kabila wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo watawasili Dar es Salaam leo kwa mwaliko wa rais Jakaya Kikwete.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 9

Wadau wa mawasiliano kuathimisha siku yao May 17
Posted Sun, May,11 2008
Source ITV
Wadau wa mawasiliano wa hapa nchini May 17 mwaka huu wanaungana na wenzao dunani kote kuadhimisha siku ya teknolojia ya habari na mawasiliano huku nchi ikikabiliwa...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 12

Jeshi la polisi linahitaji msaada kupambana na ajali za barabarani
Posted Sun, May,11 2008
Source ITV
Jeshi la polisi limesema lipo tayari kushirikiana na taasisi yeyote ya umma na binafsi katika juhudi za kukabiliana na majanga ya ajali za barabarani...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 45

Wafanyakazi wa serikali wametakiwa kuthamini na kuheshimu nafasi zao
Posted Sun, May,11 2008
Source ITV
Makamu wa rais Dr. Ali Mohamed Shein amewakumbusha wafanyakazi wa serikali kujenga utamaduni wa kuthamini na kuheshimu nafasi za kazi wanazopewa na taifa kwa kutekeleza wajibu na majukumu yao ipasavyo.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 98

Vijana wametakiwa kuiga mfano wa viongozi wa dini
Posted Sun, May,11 2008
Source ITV
Spika wa bunge la Jamhuri amewashauri vijana nchini kuiga mfano wa viongozi wao wa dini ilikuondoa tabaka za kijamii na kuimarisha amani, umoja na mshikamano uliopo mingoni mwa watanzania.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 65

   
Biashara
 

Utafiti wa mafuta katika maeneo kadhaa yanaonyesha mafanikio kiasi
Posted Fri, May,09 2008
Source ITV
Shirika la maendeleo ya petroli TPDC limesema makampuni yanayoendelea na utafiti wa mafuta katika maeneo kadhaa yanaonyesha mafanikio kiasi kutokana na dalili za awali zinazoonyesha kuwepo kwa mafuta katika vina virefu vya...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 69

Dodoma yapeta
Posted Thu, May,08 2008
Source Alasiri
Mkoa wa Dodoma umevuna lengo la uzalishaji kwa asilimia 100 baada ya kubuna tani milioni 1.2 za mazao ya chakula.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 2

Pato la Mtanzania sasa ni dola 526 kwa mwaka
Posted Thu, May,08 2008
Source ITV
Pato la taifa kwa mwaka huu limeongezeka na kufikia trilioni 25 ukilinganisha na trilioni 21 zilizopatikana katika mwaka uliopita, na kufanya wastani wa pato la mtu kufikia dola 526 kwa mwaka.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 5

Benki za biashara nchini zimetakiwa kusambaza huduma vijijini
Posted Thu, May,08 2008
Source ITV
Benki za biashara nchini zimetakiwa kuonesha kwa vitendo uwezo wake wa kupanua wigo wa huduma zao kwa watanzania kwa kupeleka huduma zao kwenye mikoa na wilaya na vijijini...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 86

Serikali imewataka wajasiriamali nchini kuchangamkia fursa za utoaji mikop
Posted Wed, May,07 2008
Source ITV
Serikali imewataka wajasiriamali nchini kuchangamkia fursa za utoaji mikopo katika asasi za fedha ili kukuza mitaji itakayowawezesha kuleta ushindani katika soko la jumuiya ya Afrika Mashariki.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 131

Wanaotoa huduma kwa wawekezaji nchini wahakikisha wanatoa huduma kikamilifu
Posted Wed, May,07 2008
Source ITV
Mamlaka ya ukanda wa mauzo ya nje- EPZ imewataka wadau wanaotoa huduma kwa ajili ya wawekezaji nchini kuhakikisha wanatoa huduma kikamilifu na kuhakikisha kuwa wawekezaji wanaokuja kuwekeza hapa nchini hawapati usumbufu...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 62

Madiwani waelezea kusikitishwa na taarifa ya halmashauri
Posted Wed, May,07 2008
Source ITV
Baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro limeitaka wizara ya tawala za mikoa na serikali za mitaa kuwachukulia hatua watumishi wa halmashauri hiyo walioanzisha vyanzo binafsi vyamapato...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 20

Wanawake wachimbaji wametakiwa kujiimarisha katika umoja wao
Posted Tue, May,06 2008
Source ITV
Wanawake wachimba madini hapa nchini wametakiwa kuimarisha umoja wao pamoja na kutumia vikundi vyao kuomba mikopo mikubwa katika vyombo vya fedha ili waweze kuongeza ufanisi katika biashara zao ikiwemo kuyaboresha madini...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 82

SCUULT watoa kiasi cha shilingi milioni 700
Posted Tue, May,06 2008
Source ITV
Shirikisho la vyama vya akiba na mikopo SCUULT limefanikiwa kutoa kiasi cha shilingi milioni mia saba ikiwa ni utekelezaji wa programu ya utoaji wa mikopo kwa mikoa...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 35

Tumieni fursa ya EU wajasiriamali wasindikaji-Naiko
Posted Tue, May,06 2008
Source ITV
Watanzania wametakiwa kutumia fursa inayotolewa na jumuiya ya Ulaya ya kutafuta wajasiriamali wasindikaji katika sekta ya kilimo ili kufanya nao biashara katika sekta mbalimbali hapa nchini na Afrika kwa ujumla kupitia mkutano...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 13

   
Afya
 

Asilimia 98 ya dawa hazithibitishwi ubora wake kabla ya kuingia sokoni
Posted Wed, March,19 2008
Source ITV
Asilimia 98 ya dawa zinazotakiwa kuthibitishwa ubora wake kabla ya kuingia sokoni zimebainika kuwa na kemikali hatari za sumu zinazochangia kusababisha madhara makubwa kiafya.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 16

Walaji nguruwe watahadharishwa Dar
Posted Thu, February,28 2008
Source Nipashe
Mkoa wa Dar es Salaam, umewatahadharisha wananchi dhidi ya ulaji wa nyama ya `kitimoto` kutokana na kuibuka kwa homa ya nguruwe.
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 1

Hubert Kairuki inaendelea na zoezi la kupima kansa ya shingo ya uzazi
Posted Fri, February,08 2008
Source ITV
Taasisi ya afya na tiba ya Hubert Kairuki ya Mikocheni jijini Dar es Salaam imeendesha zoezi la kupima kansa ya shingo ya uzazi kwa kina na bila malipo kama sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka tisa ya kifo cha...
» Habari Zaidi
»Habari Zinazohusiana 18

 
Privacy Statement Terms Of Use ©1998-2007 IPPMedia Ltd.  All Rights Reserved.