Itungwe sheria kali kuwadhibiti wabadhirifu wa fedha za umma
TAARIFA kuhusu ubadhirifu, wizi na uchepushaji wa fedha katika mamlaka za serikali za mitaa nchini, zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara huku zikionyesha kwamba baadhi ya wahusika wanachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni na taratibu za utumishi wa umma.