NIPASHE
31Mar 2023
Jaliwason Jasson
Nipashe
Taarifa ya kuanzishwa kwa madawati hayo ya ulinzi na usalama wa Mtoto imetolewa jana Machi 30, 2023 na Meneja Mkazi wa shirika hilo Roselyne Mariki, wakati wa mafunzo kwa wadau wa elimu, dawati la...
31Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Dubabe, aliyekuwa akijishughulisha na kazi ya ulinzi anatuhumiwa kutenda makosa hayo kati ya mwaka 2018 na 2022 kwa nyakati tofauti.Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Robert Oguda, alisema Mahakama...
31Mar 2023
Jenifer Gilla
Nipashe
Imedaiwa kwamba watu hao wamekuwa wakiingia katika maduka ya wafanyabiashara hao kwa njia ya kununua mzigo baadaye kuomba kuanzimwa kiasi kidogo cha pesa za Kitanzania na kuacha kiasi kikubwa cha...
31Mar 2023
Kulwa Mzee
Nipashe
Vifungu hivyo ni kinyume na Katiba, vinakiuka Ibara ya 21(1) na (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hukumu hiyo ilitolewa juzi mbele ya jopo la majaji watatu, Jaji John Mgetta, Jaji Dk...
31Mar 2023
Shaban Njia
Nipashe
Mwenyekiti wa Mzalendo Foundation na Mkulima wa Kata ya Kilago, Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, Khamis Mgeja, alitoa ombi hilo juzi wakati akizungumza na wakulima na maofisa...
31Mar 2023
Na Waandishi Wetu
Nipashe
Wanawake hao ni pamoja na mama lishe ambao wamepewa elimu ya matumizi ya nishati ya gesi ili kudhibiti uharibifu wa mazingira. Akizungumza katika mafunzo hayo ya siku moja jijini humo, Naibu Waziri...
31Mar 2023
Elizaberth Zaya
Nipashe
Hayo yalibainika jana Ikulu, Dar es Salaam, katika mkutano kati ya kiongozi huyo na Rais Samia Suluhu Hassan.Kupitia mkutano huo wa pamoja, Tanzania na Marekani zimetangaza kuanza rasmi majadiliano...
31Mar 2023
Rahma Suleiman
Nipashe
Haroun ambaye ni Mwakilishi wa Makunduchi, aliyasema hayo jana katika kikao cha pamoja kati ya watendaji kutoka sekta za serikali pamoja na wananchi kwa lengo la kuzungumzia changamoto...
31Mar 2023
Nebart Msokwa
Nipashe
Mafunzo hayo yalitolewa jana jijini Mbeya kwa mara ya kwanza yakiwahusisha wadau mbalimbali wakiwamo mawakili, washauri wa biashara, wahasibu pamoja na wanafunzi wanaosomea fani hizo katika vyuo...
31Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Pata mizunguko 50 ya bure kucheza sloti na michezo ya kasino ya mtandaoni ukijisajili na Meridianbet. ...
Jisajili kupitia link hii https://a.meridianbet.co.tz/c/4La76DKama tunavyojua kila mtu anapenda kula chakula ambacho kimeandaliwa kwenye mazingira safi na salama hata pale ambapo anakula chakula...
31Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Droo hiyo itakayochezeshwa na maofisa wa CAF itafanyika Cairo, Misri kuanzia saa 12:30 usiku kwa saa za Tanzania.Simba ambayo imetinga hatua ya robo fainali baada ya kushika nafasi ya pili...
31Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
Kikosi cha Yanga kiliwasili salama Lubumbashi tayari kwa mechi hiyo ya kuweka heshima kwa kila upande.Hata hivyo, vinara hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga itawakosa nyota wake kadhaa ambao ni...
31Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Ni katika mechi ya 'usiku mkubwa' dhidi ya Raja Casablanca ambayo...
Kundi la pili la wachezaji wa timu hiyo limeshawasili Morocco tayari kwa mechi hiyo ambayo Wekundu wa Msimbazi wataitumia pia kama sehemu ya maandalizi ya hatua inayofuata ya mashindano hayo ya...
31Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
Taarifa hiyo imekuja siku chache baada ya mechi kati ya Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars) dhidi ya Uganda kusimama kwa zaidi ya dakika 30 kutokana na jenereta lililokuwapo kushindwa kuwasha...
31Mar 2023
Neema Emmanuel
Nipashe
hazikopesheki
Hilo limeifanya Ofisi ya Rais - TAMISEMI na Wizara ya Fedha na Mipango, kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU), kuandaa kongamano la utekelezaji mpango mikakati kwa halmashauri nchini.Ni...
31Mar 2023
Joseph Kulangwa
Nipashe
Mwanamuziki wa Kikongo, Ramadhani Ongala, ambaye sasa ni marehemu, aliimba wimbo ukisema muziki ni wito, muziki ni fundisho, muziki ni maombolezo na kwamba hata kwenye matukio ya kiserikali, muziki...
31Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
• Vivutio maua, ndege wanaosafiri kutoka Ulaya • Ukingoni mwa milima alikopita Dk. Livingstone
Mahali hapo panaunganisha vilele vya milima Kipengere, Uporoto na safu za milima ya Livingstone alikopita Dk. David Livingstone, ikiundwa na mipaka ya wilaya za Makete (Njombe), Rungwe na Mbeya...
31Mar 2023
Renatha Msungu
Nipashe
uchumi *Yabeba tenda kuhudumia nchi kiufundi
Ndani yake inasema, sasa inatumia huduma zake kiuchumi kunufaisha nchi katika mahitaji yanayoangukia mahitaji yao kiuchumi.Hadi sasa, inawajibika kisayansi kwa maendeleo ya teknolojia nchini kupitia...
31Mar 2023
Joseph Mwendapole
Nipashe
Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Umma wa Mamlaka hiyo, Richard Kayombo, wakati akitoa mada kuhusu majukumu ya mamlaka hiyo kwenye mkutano wa 12 wa Jukwaa la Wahariri (TEF)...
31Mar 2023
Enock Charles
Nipashe
... walichokiweka katika majengo hayo na kutokufanya ujanja wa kuwapa ruhusa kinyemela wakwepaji wa kodi.Akizungumza wakati wa uzinduzi wa nyumba za makazi zilizojengwa na TBA katika eneo la Magomeni...