NIPASHE

Rais Samia Suluhu Hassan akiwa na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Kuwait (KFED), Waleed SH. Albahar, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dk. Batilda Buriani na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini TANROADS, Mhandisi Rogatus Mativila, akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Barabara ya Nyahua-Chaya yenye urefu wa kilomita 85.4, Tura, Uyui, mkoani Tabora jana. PICHA: IKULU