NIPASHE JUMAPILI
26Mar 2023
Jaliwason Jasson
Nipashe Jumapili
Taarifa ya kuanza kwa michezo hiyo ambayo inatambuliwa kama Polisi jamii cup imetolewa leo Machi 25 na kamanda wa polisi mkoani Manyara Kamishna Msaidizi wa Polisi George Katabazi katika uwanja wa...
26Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Kutana na Sungura, Simba na Tembo wakupe ushindi
Leo nataka nikwambie kuwa kasino ya mtandaoni ya Meridianbet imekuja na Sloti ya Wanyama kama Sungura, Simba, Dubu na Tembo wote wakiwa na jukumu moja tu la kukuburudisha na kukupa ushindi.Sloti ya...
26Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Akizindua leo dirisha la kuwasilisha maombi ya tuzo hizo jijini Dodoma, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda, amesema matokeo hayo ya utafiti ni yale yanayoakisi na kujibu kero...
26Mar 2023
Neema Hussein
Nipashe Jumapili
Akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa Audity Accountability initiative (AAI) uliozinduliwa katika ngazi ya halmashauri ya wilaya ya Tanganyika Mkurugenzi wa UDESO Eden Ezekiel amesema mradi...

Afisa Elimu wa Mkoa wa Arusha, Abel Tupwa (aliyeshika mkasi) akikata utepe, kuashiria ufunguzi rasmi wa kituo cha uratibu wa rufaa na usafiri wa dharura (Dispatch Center) cha m-mama katika hospitali ya rufaa ya Mount Meru mkoani Arusha.Wakizindua kwa pamoja, katikati ni Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania Plc, George Venanty, kulia kwake ni Msimamizi wa Programu ya M-Mama Wizara ya Afya, Jofrey Shayo.
26Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Hafla ya uzinduzi huo ilifanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru jijini humo. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kituo cha uratibu wa rufaa na usafiri wa dharura (dispatch center)...
26Mar 2023
Paul Mabeja
Nipashe Jumapili
Wakazi hao ambao waliwawakilisha wanakijiji wenzao, waliwasili jijini Dodoma tangu Februari 26, mwaka huu, kwa lengo la kumwona Waziri Mkuu ili kumfikishia malalamiko ya eneo la mashamba yao kumegwa...
26Mar 2023
Christina Haule
Nipashe Jumapili
Meneja wa TANROADS mkoani Morogoro Mhandisi Alinanuswe Kyamba alisema ni vema jamii na watumishi wakazingatia michezo kuwe na bonanza la michezo au laa ili kujenga umoja baina yao na...
26Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Othman ameyasema hayo jana katika soko kuu la Darajani mjini Unguja, baada ya kukamilisha ziara yake ya kutembelea masoko ya bidhaa mbalimbali Zanzibar kuona mwenendo wa bei na upatikanaji bidhaa...
26Mar 2023
Na Waandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Uchunguzi wa Nipashe umebaini kuwa tatizo hilo linazidi kushika kasi kulinganisha na miaka ya nyuma na kwamba baadhi ya magonjwa hayo yalikuwa yakiwapata watu wazima. Hali hiyo imeilazimu Nipashe...
26Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
SAKATA la mgogoro wa ardhi kata ya Kimbiji, Manispaa Kigamboni ambao Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, alitangaza uamuzi wa serikali wa kuchukua kipande cha ardhi chenye mgogoro, limekwama...
26Mar 2023
Romana Mallya
Nipashe Jumapili
Hatua hiyo imewaibua viongozi wa kidini, kimila na wazazi ambao wamebainisha mambo kadhaa wanayoamini ndicho kiini cha mmomonyoko wa maadili kwa vijana wa kiume, unaochangia kushindwa...
26Mar 2023
Godfrey Mushi
Nipashe Jumapili
Leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Jamii la TUSONGE CDO linalofanya kazi na makundi ya wananchi wa pembezoni, Aginatha Rutazaa, amesema kuanzia Julai mwaka 2022 hadi kufikia Januari...
26Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Ujio huo wa duka hilo ulikuwa unasubiriwa kwa muda mrefu kwa kwaajili ya kubashiri michezo mbalimbali huku ODDS BOMBA kama mvua zikimwagika kila siku kazi inabaki kwako tu kuweka dau na kubashiri....
26Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Balozi Polepole amekabidhi misaada hiyo ya kibinadamu jana inayojumuisha Mablanket, Mahema, Unga wa Mahindi kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Malawi, Nancy Tembo katika Mji wa Blantrey Nchini Malawi...
19Mar 2023
Jaliwason Jasson
Nipashe Jumapili
Taasisi hizo za serikali zimewasilisha rasimu ya bajeti za taasisi zao leo Machi 19 katika Kikao maalumu cha kamati ya ushauri ya mkoa huo (RCC).Akiwasilisha rasimu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2023/...
19Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Meridianbet inatoa fursa ya kupiga mtonyo kupitia Kasino ya Mtandaoni kupitia Sloti ya michezo ya Expanse. Meridianbet wakali wa Kasino ya mtandaoni wenye sloti rahisi kushinda kama Aviator,...
19Mar 2023
Vitus Audax
Nipashe Jumapili
Ibada hiyo ilifanyika katika Kanisa Katoliki la Parokia ya Watakatifu Petro na Paulo Mwananchi iliyopo Kata ya Mahina Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza iliyoudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama...
19Mar 2023
Neema Hussein
Nipashe Jumapili
Akizungumza mara baada ya kutembelea bandari hiyo Mwenyekiti wa (PIC)Jerry Silaa amesema mpango wa Serikali wa kujenga bandari hiyo uko pamoja na ujenzi wa barabara ya kilometa 110 pamoja na reli...
19Mar 2023
Halfani Chusi
Nipashe Jumapili
Filamu hiyo iliyotafsiriwa kwa lugha ya Kifaransa, itaonyeshwa katika mabasi ya kampuni hiyo yanayosafirisha abiria katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Kiongozi huyo alitoa...
19Mar 2023
Nebart Msokwa
Nipashe Jumapili
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Mohamed Said Mohamed, alitoa agizo hilo jana jijini hapa alipohutubia wananchi waliohudhuria kwenye maadhimisho ya kitaifa ya miaka miwili ya Rais Samia...