NIPASHE JUMAPILI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Dk. Philip Mpango nje ya Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kawaida cha Halmashauri Kuu ya Taifa jana. PICHA: IKULU

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako (kushoto) akizungumza na Rais Samia Suluhu Hassan (picha ya kusanifu) kwenye mkutano mkuu wa wakuu wa shule za sekondari nchini uliofanyika Mlimani City. Rais aliwaambia walimu kwa njia ya simu kwamba anajua changamoto zao na atazitatua.