NIPASHE
06Jun 2023
Beatrice Moses
Nipashe
Mkurugenzi wa Elimu na Huduma kwa Mlipa Kodi TRA, Richard Kayombo, ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari wanachama wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoani Dar es Salaam (DCPC),...
06Jun 2023
Halima Ikunji
Nipashe
Amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan imefanya mambo makubwa kwenye sekta hii ikiwemo kuboreshwa miundombinu ya michezo katika shule mbalimbali ili kuinua...
06Jun 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
* Iko kwenye nchi karibu 50 duniani, ikiwemo nchi 10 za Afrika, * Inaendesha bandari kwenye mataifa makubwa duniani, ikiwemo Marekani, China, Ujerumani, Ufaransa na Canada, * Kwa Afrika, wapo Nigeria, Afrika Kusini, Rwanda, Misri, Msumbiji na nchi nyingine
DP World ni moja ya kampuni kubwa duniani zenye mafanikio katika uendeshaji wa bandari katika nchi mbalimbali.Kwa mwaka 2022 peke yake, DP World ilipata mapato ya Dola za Marekani Bilioni 17.1 na...
06Jun 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Akizungumza na wanahabari jijini Dodoma mwenyekiti wa kikao cha Kamati ya Utendaji Taifa ya Chama cha Walimu Tanzania Thobias Sanga, ambae ni mwakilishi wa Walimu kutoka Njombe, amesema kuna...
06Jun 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, ACP Theopista Mallya, amesema ajali hiyo imetokea leo Juni 6, 2023 alfajiri ambapo basi hilo la Kampuni ya Golden Deer imeligonga lori kwa nyuma aina ya Scania."...
06Jun 2023
Daniel Limbe
Nipashe
-Taasisi ya Al-Hiqma Foundation.Baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli, ujenzi wa msikiti huo ulisimama ikiwa ni zaidi ya miaka miwili iliyopita, licha ya Rais Samia kuahidi kukamilisha ahadi zote za...
06Jun 2023
Marco Maduhu
Nipashe
Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Shinyanga Mrakibu Martin Nyambala, amesema Jeshi hilo lilipata taarifa majira hayo ya Saa 9 usiku, na baada ya dakika tatu walifika eneo la tukio,...
06Jun 2023
Cynthia Mwilolezi
Nipashe
Kushuka kwa matukio hayo ya ukiukwaji wa haki za binadamu, ni sawa na upungufu wa matukio tisa ya mauaji hayo kwa mwaka.Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongela, ameyasema hayo jana, Juni 05, 2023,...
06Jun 2023
Jenifer Gilla
Nipashe
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Simiyu, Minza Mijika, amesema ni vyema serikali ikauza tembo hao na kupata fedha za kigeni kwa kuwa wamekuwa wengi hali inayochangia wazurure kwenye makazi ya watu...
06Jun 2023
Elizabeth John
Nipashe
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka, wakati akizungumza na wananchi wa kata ya lyamkena mjini Makambako mara baada ya kushiriki zoezi la kupanda miti aina ya mivengi 850 kwenye...
06Jun 2023
Julieth Mkireri
Nipashe
Chama hicho kimesema haikubaliki kuwa asilimia 61 ya watu masikini nchini Tanzania wapo mikoa ya Magharibi na Kanda ya ziwa na kwamba asilimia 33 ya watu wote masikini hapa nchini wapo mikoa ya Geita...
05Jun 2023
Idda Mushi
Nipashe
Mwandishi wa habari hizi amefika eneo la ajali na kukutana na Costa hiyo ikiwa tayari inavutwa kutoka eneo la tukio kupelekwa kituo cha polisi cha Mikumi.Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya St. Kizito...
05Jun 2023
Augusta Njoji
Nipashe
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Kairuki amesema katika uchambuzi wa maombi hayo 86,448 walikidhi vigezo na kati yao 18,449 wa kada ya Afya na ualimu wamepangiwa vituo vya kazi."Jumla ya...
05Jun 2023
Jaliwason Jasson
Nipashe
Mtoto huyo (jina limehifadhiwa), anadaiwa kunajisiwa na mfanyakazi wa shirika hilo, baada ya kumrubuni kwa kumtuma amuingizie kopo la sabuni chumbani kwake, na kisha kuwasha redio kwa sauti ya...
05Jun 2023
Cynthia Mwilolezi
Nipashe
Mongela ameyasema hayo leo, Juni 05, 2023, alipokuwa akiwasilisha taarifa ya mkoa huo ya utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)."Hapa napenda kuhimiza wenzangu, Kamati za...
05Jun 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mwalimu wa Nidhamu na Maadili wa Shule hiyo, Cecilia Mlolore, akizungumza leo Juni 06, 2023 wakati wa kikao cha kushirikisha wadau matokeo ya mradi wa majaribio wa afya ya akili, unaotekelezwa na...
05Jun 2023
Shaban Njia
Nipashe
Shule hiyo imeanzishwa tangu mwaka 1975 na inajumla ya wanafunzi 524, madarasa sita, walimu sita kati ya hao mwalimu wa kike ni mmoja na nyumba za walimu tatu kati ya hizo nyumba mbili zilijengwa na...
05Jun 2023
Oscar Assenga
Nipashe
Ruzuku hiyo inalenga kuwawezesha kushindana ipasavyo katika upanuzi wa soko la bidhaa za Afrika Mashariki na Afrika.Meneja wa TBS, Kanda ya Kaskazini, Joseph Mwaipaja, akizungumza na Nipashe Jijini...
05Jun 2023
Elizabeth John
Nipashe
Mtaka ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, ambapo amesema zoezi hilo litafanyika kwa uwazi ili kuondoa sintofahamu kwa familia. "Na zoezi la ulipaji na...
05Jun 2023
Mhariri
Nipashe
Yanga licha ya kushinda kwa bao 1-0 ugenini bado matokeo hayo hayakuweza kuwapa nafasi ya kutangazwa mabingwa wa michuano hiyo kwa mara ya kwanza baada ya mchezo wa kwanza uliochezwa Mei 28 jijini...