NIPASHE

14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
                                                       ...

Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Ruth Zaipuna.

14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Huduma hiyo mpya ya mikopo ya elimu ya juu ‘NMB Elimu Loan’ yenye riba nafuu maalum ni kwaajili ya watumishi na wafanyakazi ambao mishahara yao inapitia benki ya NMB imezinduliwa leo...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia) akiipongeza Vodacom Tanzania baada ya kupata maelezo ya vifaa vya kudhibiti mwendo na ajali vinavyofungwa kwenye magari ya wafanyakazi kutoka kwa Mkurugenzi wa M-Pesa, Epimack Mbeteni (kushoto), alipotembelea banda la kampuni hiyo,wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani kwenye viwanja vya Furahisha jijini Mwanza. Wakifuatilia maelezo hayo, wa pili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Adam Malima, na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camilius Wambura.

14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa maadhimisho hayo yaliofanyika Jijini Mwanza, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ambaye amesema taasisi za umma zina nafasi kubwa ya kushirikiana...
14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
MFANYAKAZI wa ndani wa kiume 'house boy', Ismail Sang'wa (28), amehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumuua kwa kumkata shingo na panga aliyekuwa mwajiri...

MKUU wa Mkoa Singida, Peter Serukamba.

14Mar 2023
Thobias Mwanakatwe
Nipashe
"Natoa agizo ifikapo Jumatatu ya kuanzia 20 Machi mwaka huu mbegu hizo ziwe zimesambazwa kwa wakulima wenye mahitaji vinginevyo halmashauri ilipe fedha za mbegu hizo," amesema.Ametoa onyo...
14Mar 2023
Jaliwason Jasson
Nipashe
Taarifa hiyo imetolewa na leo Machi 14, 2023 na Meneja mipango na uhamasishaji wa Bodi ya usimamizi wa stakabadhi za ghala nchini Sura Ngatuni, wakati akizungumza na wadau wa kilimo katika mafunzo ya...
14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Ndugu wa mtoto huyo wamesema wakati tukio hilo likitokea marehemu na wenzake walikuwa wakichota maji na kucheza kwenye mvua ndipo mtoto huyo mmoja alipo pigwa radi.Mganga mfawidhi wa kituo cha afya...
14Mar 2023
Peter Mkwavila
Nipashe
Ngede alibainisha hayo juzi wakati akizungumza na wafanyabiashara wa Soko la Bonanza jijini hapo, kwenye mkutano mkuu wa uchaguzi wa viongozi wao.Alisema wafanyabiashara hao wanapaswa kuwa makini...

Amir Ohana, Spika wa Bunge la Israel –Knesset, anayetetea ndoa za jinsia moja. PICHA: KNESSET

14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Ikumbukwe kabla ya kupata uhuru na baada ya kujitawala hadi miaka ya 1990, ungeweza kusema kipindi hicho ni ‘majira ya zamani’, lakini kuanzia miaka ya 1990 hadi leo 2023 kukiita kipindi...

Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako.

14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Miradi hiyo ni ujenzi wa kiwanda cha sukari Mkulazi, machinjio ya kisasa Nguru Hills, ukarabati wa kiwanda cha chai Mponde, Chuo cha Ufundi kwa watu wenye ulemavu cha Masiwani na ujenzi wa vitalu...
14Mar 2023
Augusta Njoji
Nipashe
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, Stanslaus Nyongo, alitoa maelekezo hayo baada ya tume hiyo kuwasilisha taarifa kuhusu muundo na majukumu yake kwa kamati hiyo jijini hapo....
14Mar 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Ni juhudi za serikali za kugharamia elimu msingi sekondari na hata kuwarejesha shuleni wale walioanguka kutokana na matatizo mbalimbali iwe ujauzito, kukosa ada, maradhi na ugumu wa maisha ya familia...

Mabinti wakipatiwa chanjo ya kuzuia saratani ya shingo ya kizazi wanaweza kuepuka magonjwa hayo siku zijazo. PICHA: MTANDAO

14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Ni kutokana na mabadiliko na hali zao kuwa tofauti na vile jamiii ilivyozoea kuwaona wazazi kama hao miaka ya nyuma. Hata hivyo zaidi kumekuwa na wimbi kubwa la magonjwa ambayo yanawakabili kinamama...

Shujaa wa kupinga ndoa za utotoni na ukatili kwa wanawake na watoto, Debora Timothy. PICHA: CHRISTINA MWAKANGALE

14Mar 2023
Christina Mwakangale
Nipashe
*Anawakumbusha semeni ‘no’ kwenye kuonewa
 Anakizungumza na Nipashe, hivi karibuni jijini Dar es Salaam, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, anaeleza wazi na kutaka kuacha somo kwenye jamii kwamba mtoto wa kike anahitaji...
14Mar 2023
Grace Gurisha
Nipashe
Mashahidi hao wanatoka Benki ya NMB, UDART, BRELA, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na taasisi zingine ambapo nyaraka zitakazotumika zinatoka taasisi mbalimbali ikiwamo ripoti ya...
14Mar 2023
Na Waandishi Wetu
Nipashe
Simba itaikaribisha Horoya AC ya Guinea katika mechi ya Kundi C ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi wiki hii katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kabla ya kesho yake, Jumapili Yanga kuvaana na US Monastir...

Kipa wa Timu ya Green Warriors, Fahad Idrisa (kushoto), akiokoa hatari kwa kuucheza mpira wa kichwa uliopigwa na mchezaji wa timu ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi ya Championship uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam juzi. JKT Tanzania ilishinda mabao 3-1. PICHA: JUMANNE JUMA

14Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
- mechi ikichezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.Ni ushindi unaowaweka sehemu nzuri ya kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2023/24, ikiendelea kushikilia usukani wa Ligi ya Championship,...
14Mar 2023
Julieth Mkireri
Nipashe
Tukio hilo linadaiwa kutokea Machi 12, majira ya saa mbili usiku baada ya kula nyama hiyo.Akizungumza kwa njia ya simu, Mwenyekiti wa Kijiji cha Bweni, Juma Khatibu, alisema watu hao walikumbwa na...

KIUNGO mshambuliaji Feisal Salum 'Fei Toto'.

14Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Kuivaa Uganda akiungana na Samatta, Msuva na mastaa kibao wanaokipiga nje, yumo pia...
-nchini Ivory Coast.Fei Toto, ameitwa kwenye timu ya taifa akiwa hayupo kwenye kikosi cha Yanga kinachocheza Ligi Kuu na michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, na hivi karibuni akiwa...
14Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
ATCL, Air Senegal kuwachukulia hatua watengeneza ndege
 Madai hayo yanatajwa katika sehemu kuu tatu; udhaifu wa injini, kupata kutu mapema na bodi ya ndege hizo hazikidhi viwango, hali inayofanya vyombo hivyo vya usafiri kulazimika kusimama kila...

Pages