NIPASHE

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbas (wa pili kulia), akipokea sehemu ya mizinga 200 ya kufugia nyuki kwa ajili ya vikundi vya ufugaji vya wilaya za Gairo na Kilombero, kutoka kwa Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa na Serikali wa Benki ya NMB, Alfred Shao, wakati wa uzinduzi wa kitaifa wa Programu ya ugawaji mizinga hiyo kwa wafugaji wa mikoa ya Morogoro, Tabora na Njombe. Uzinduzi huo ulifanyika katika msitu wa Msingisi uliopo eneo la Kijiji cha Msingisi, wilayani Gairo. Wa pili kushoto ni Meneja wa NMB Kanda ya Kati, Janeth Shango na kulia Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Jabir Makame.

22Nov 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa program hiyo uliyofanyika katika msitu wa Msingisi - Gairo, Afisa Mkuu wa Wateja Wakubwa na Serikali wa Benki ya NMB, Alfred Shao amesema kuwa, NMB imewezesha...
22Nov 2023
Francis Godwin
Nipashe
Akihojiwa na uongozi wa Mtaa wa Mawelewele mjini Iringa, Johari alidai amekuwa anaishi maisha magumu. Baada ya kuwasiliana na mama yake, alimtaka aende kuishi jijini Dar es Salaam, lakini kukawa na...

George Simbachawene.

22Nov 2023
Paul Mabeja
Nipashe
"Bado suala la rushwa ndogondogo ni tatizo sana kwa wananchi wetu na huko ndiko yako malalamiko mengi ya watu kutokana na rushwa hiyo kuwanyima fursa ya kupata huduma," alisema waziri huyo....

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo ( wa pili kushoto) , Afisa Rasilimali Watu Mkuu wa Benki ya maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Bi. Jacqueline Minja (wa tatu kushoto), wakikabidhi mfano wa hundi kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Kilimo Cha Sokoine (SUA) waliofanya vizuri zaidi ikiwa ni kama motisha kwao. Wanaoshuhudia kushoto ni Makamu Mkuu wa chuo SUA Prof Raphael Chibunda na kulia ni baadhi ya wafanyakazi wa TADB.

22Nov 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Motisha hiyo ya fedha, imetolewa na TADB kama sehemu ya kuwapongeza wanafunzi waliofanya vizuri zaidi kupitia mpango mkakati wake mpya uliozinduliwa mwaka huu.Akiongea wakati wa hafla ya kutoa zawadi...

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko

21Nov 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
...ni utekelezaji wa agizo alilolitoa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko kwa TANESCO la kuimarisha hali ya umeme katika mikoa hiyo. Agizo hilo la kuimarisha hali ya umeme...

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Dk. Doto Biteko.

21Nov 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
...ili muda wote kuwe na hazina ya kutosha ya nishati hiyo inayotumika kwa matumizi mbalimbali ikiwemo kuzalisha umeme, viwandani, majumbani na katika magari.Dk. Biteko ameyasema hayo Novemba 21,...

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi.

21Nov 2023
Saada Akida
Nipashe
Ataka kwenda kuishangaza kwao huku akieleza tayari amekisuka kikosi chake kwa...
Kikosi cha Yanga kinaendelea na maandalizi ya mchezo huo  watakaokuwa ugenini Ijumaa wiki hii katika Uwanja wa Julai 5, 1962 (Stade du 5 Juillet 1962) nchini humo kuhakikisha wanaanza vizuri...
21Nov 2023
Faustine Feliciane
Nipashe
UN- Women wataendesha mpango huo kwa kushirikiana na Kampuni ya Tigo ambapo watawawezesha wasichana wenye umri kuanzia miaka 17-25 kuchukua masomo na taaluma katika sekta ya Habari, Mawasiliano na...
21Nov 2023
Grace Gurisha
Nipashe
Inadaiwa kuwa Masahi alimshambulia kwa nyundo jirani yake huyo baada ya Minja kwenda kumshtaki Serikali za Mitaa kwamba anatiririsha maji mchafu katika eneo lake. Tarehe hiyo ilipangwa mwishoni mwa...
21Nov 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Bashungwa ameyasema hayo leo Novemba 21, 2023 katika Mkutano wa mashauriano kati ya Serikali na Makandarasi wazawa na Washauri elekezi wa ndani jijijini Dodoma, kujadili nafasi yao katika utekelezaji...

Daniel Cadena.

21Nov 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
ya kirafiki dhidi ya Dar City kwenye Uwanja wa Mo Arena, wakishinda 4-0.Cadena, ambaye baada ya kuichukua Simba iliyokuwa chini ya Roberto Oliveira aliyeondoshwa kutokana na kipigo cha mabao 5-1...
21Nov 2023
Vincent Mpepo, CKHT
Nipashe
Aliyasema hayo wakati akitoa salamu za pole katika ibada ya kutoa heshima za mwisho kufuatia kifo cha Dk.Lilian Macha ambaye alifariki 15/11/2023 na kuagwa na wafanyakazi wenzake wa makao makuu...
21Nov 2023
Elizabeth John
Nipashe
Shiwa, mfanyabiashara wa madini na mkazi wa eneo la Uwanja wa Ndege mjini Njombe, anadaiwa kutenda ukatili huo baada ya kutokea ugomvi kati yao alipomwita Mgeni, akitumia neno 'mhudumu'.Ni...
21Nov 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Katibu Mkuu Mahimbali atoa Wito Diaspora, Wadau kutoa maoni
Wataalam wa Wizara ni sehemu ya ujumbe maalum wa Serikali ya Tanzania unaoshiriki jukwaa hilo lililoanza Novemba 20, 2023 jijini London ambao pia unahusisha wafanyabiashara kutoka Tanzania....
21Nov 2023
Christina Mwakangale
Nipashe
Mkataba huo umehusisha maeneo mawili; kuboresha upatikanaji dawa ambazo hazipatikani kwa urahisi kwenye soko ikiwamo dawa zinazotumika katika upandikizaji wa viungo mbalimbali mwilini kama figo,...

Mary Chatanda.

21Nov 2023
Christina Mwakangale
Nipashe
Amesema fursa za uongozi wa juu hasa kwa wanawake ni nadra kutokea, nafasi iliyopatikana kwa kundi hilo isiachwe kwa kumuunga mkono Samia arudi katika urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025....
21Nov 2023
Na Waandishi Wetu
Nipashe
Vigogo watajwa, familia zachangia kaburi...
Uchunguzi wa Nipashe umebaini kuwa gharama za maziko katika maeneo ya jiji ni kuanzia Sh. milioni 1.2 hadi Sh. milioni 1.8 kwa kaburi la kujengwa kwa zege na Sh. 300,000 hadi Sh. 600,000 kwa...
21Nov 2023
Vitus Audax
Nipashe
Katika hoja yao, baadhi ya wananchi hao wanaitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi kuhusu utekelezaji wa mradi huo.Ni baada ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya...
21Nov 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mashindano hayo yalifanyika katika mikoa ya Mwanza, Mbeya, Arusha na Dar es Salaam.Lengo la mashindano hayo ni kukuza vipaji ambapo timu hizo nne zitashindana na kutoa timu moja itakayojulikana kama...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Angella Kairuki akizungumza katika mkutano huo. PICHA: SABATO KASIKA

20Nov 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Waziri wa Maliasili na Utalii Angella Kairuki ndiye aliyesema hayo katika mkutano wa siku mbili uliofanyika jijini Dar es Salaam, ukijadili mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na...

Pages