NIPASHE

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, wakionyesha hati za makubaliano na Balozi wa Marekani hapa nchini, Donald Wright, jijini Dar es Salaam jana, baada ya kutiliana saini makubaliano kati ya benki hiyo na mashirika ya Kimarekani ya USAID na DFC ya kuwezesha mikopo yenye thamani ya Sh. bilioni 100, zitakazoiwezesha CRDB kutanua wigo wa uwezeshaji wa mikopo kwa wanawake na vijana sambamba na kutoa mikopo katika sekta za elimu, afya na zisizo rasmi nchini. PICHA: MPIGAPICHA WETU