NIPASHE

MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango.

01Jun 2023
Paul Mabeja
Nipashe
Hayo, yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo, aliposhiriki upandaji miti katika shule ya sekondari ya Kiwanja cha Ndege ikiwa ni sehemu ya kuelekea...
01Jun 2023
Renatha Msungu
Nipashe
Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mohamed Mchengerwa, wakati wa uzinduzi wa Mkakati wa kudhibiti Ujangili kwenye Hifadhi za Wanyamapori pamoja na mkakati wa Kitaifa wa Usimamizi wa...

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe.

31May 2023
Julieth Mkireri
Nipashe
Amesema Siasa ni maendeleo na hatima ya maendeleo yao iko ndani ya mikono yao kwa kubadilisha wawakilishi kwenye baraza la madiwani na bungeni.Ameyasema hayo katika Uwanja wa Sikonge Mpanda Mkoa wa...

Kaimu Mkuu wa chuo cha elimu ya Biashara (CBE), Profesa Tandi Lwoga, akizungumza na waandishi wa habari chuoni hapo jijini Dar es Salaam kuhusu kuanza kwa kozi mpya 16 kwenye mwaka huu wa masomo wa 2023/2024. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko, Leonidas Tibanga na kulia ni Mkurugenzi wa Taaluma chuoni hapo. Dk. Shima Dauson

31May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Hayo yamesemwa leo na Kaimu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Tandi Lwoga, wakati akizungumza na waandishi wa habari  kutambulisha kozi mpya katika taasisi hiyo ambazo zitaanza kutolewa katika mwaka...
31May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Aidha, imetoa maelekezo mapya kuhusu miamala yote ya fedha za kigeni inayozidi thamani ya Dola za Kimarekani milioni 1.0 kwa muamala mmoja katika soko la rejareja, lazima ifanyike kwa bei ya soko la...

Mwenyekiti wa kijiji cha Mgomba Kati, Rufiji Shaibu Nammmanje.

31May 2023
Beatrice Moses
Nipashe
Mmoja wa wajumbe wa Kamati hiyo Abdi Jumanne amehoji swali hilo leo kwenye ziara waliyoifanya kutembelea Sekondari ya Wasichana ya Dk. Samia Suluhu Hassan iliyopo Ikwiriri wilayani Rufiji mkoani...

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.

31May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Ameyasema hayo leo alipozindua Kamati ya maridhiano kati ya CCM na ACT Wazalendo  Ikulu, Zanzibar. Aidha Dk.Mwinyi amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu...
31May 2023
Christina Mwakangale
Nipashe
Ongezeko hilo limetokana na programu ya elimu bila malipo, huku wilaya ikilazimika kuboresha miundombinu ya elimu msingi. ikiwamo madarasa, matundu ya vyoo, ununuzi wa madawati utakaogharimu Sh....

KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Isack Osunyai (45).

31May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mshtakiwa huyo, anadaiwa pia kumpiga mkewe kwa mkanda usoni, mgongoni na maeneo mengine ya mwili wake.Kesi hiyo ya jinai namba 80 ya mwaka huu, inasikilizwa na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya...

Mwenyekiti wa Umoja wa Makandarasi wa Taka Ngumu Tanzania (UWATANGUTA) , Mary Ramadhani.

31May 2023
Jenifer Gilla
Nipashe
Mwekahazina wa umoja huo  kitaifa , Ntuli Damson, alisemaa   mikataba  wanayoingia na halmashauri ni mifupi, inawanyima fursa ya kukopesheka benki kwa kuwa haiendani na muda wa...
31May 2023
Grace Gurisha
Nipashe
Mshitakiwa kupitia mawakili wake, Mohamed Majaliwa, Fatuma Abdul na Zidadi Mikidadi aliwasilisha mahakamani hapo maombi ya kutaka kupata maelezo ya uhalali wa kesi ya mauji namba 5, 2022 iliyopo...
31May 2023
Elizabeth John
Nipashe
 Wakizungumza kwa kutoa kero na maoni ya kipi kifanyike ili kuboresha zaidi kwenye shughuli za biashara wanazozifanya kwa maendeleo ya taifa, baadhi ya wafanyabiashara hao wamelalamikia...
31May 2023
Hamida Kamchalla
Nipashe
  Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), Saddy Kambona, amesema klabu hiyo na nyingine zitakazoanzishwa baadaye, zitafundisha vijana hasa wa shule za sekondari, vyuo vya kati na...
31May 2023
Mary Geofrey
Nipashe
Mkurugenzi Mtendaji wa Launchpad, Carol Ndosi, akichangia mada kwenye washarsha hiyo iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam, sheria ya makosa ya mitandao ya mwaka 2015 na kanuni zake na sheria ya...
31May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Mkuu wa Mkoa huo, Alhaji Abubakari Kunenge, alitoa taarifa hiyo wakati akikabidhi Mwenge kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye alisema mkoani kwake, Mwenge ulitarajiwa...
31May 2023
Mhariri
Nipashe
Lengo la mafunzo hayo, kama ilivyo kwenye malengo la kuanzishwa kwake, ni kuwajenga vijana wa Kitanzania katika hali ya ukakamavu na uzalendo kwa nchi yao. Tangu kuanza kwa jeshi hilo mwaka 1963,...

Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Nyasaungu wakiwa mbele ya moja ya madarasa ya sekondari jana, ambayo wamejenga kwa nguvu zao.

31May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Mbunge wa Musoma Vijijini, Profesa  Sospeter Muhongo, amesema hayo baada ya kutembelea kijijini hapo jana, kutathmini utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwamo ujenzi wa shule ya sekondari ya...
30May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mkutano huo umeandaliwa na Mtandao wa Uhisani Afrika Mashariki (EAPN) na Legal Services Facility (LSF).EAPN inaendesha mkutano huo muhimu kuhusu sekta ya uhisani kama sehemu ya jukwaa...

MBUNGE wa Nanyamba (CCM), Abdallah Chikota.

30May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Akiuliza maswali bungeni leo, Chikota ametaka serikali itoe tamko kwa taasisi za fedha ambazo zimeacha kuwapatia mikopo kwa wakulima nchini baada serikali kuanza kutoa ruzuku ya pembejeo. Aidha...
30May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Kikosi cha Yanga kinatarajia kuondoka nchini kesho kuelekea Algers kukabiliana na USM Algers kwenye mchezo wa pili wa fainali ya kombe la Shirikisho Afrika.Taarifa ambazo Nipashe Digital imezipata...

Pages