NIPASHE

30May 2023
Marc Nkwame
Nipashe
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Johari Samizi amebainisha hayo leo Mei 30, 2023 wakati akisoma taarifa kwenye Mkutano wa wadau wa Anga na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROAD) Mkoani Shinyanga, juu ya...

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Angellah Kairuki.

30May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Akizungumza leo jijini Dodoma baada ya kushuhudia utiaji saini kati ya ofisi hiyo na makandarasi watakaosanifu Mradi wa Uendelezaji Mkoa wa Dar es Salaam (DMDP) utakaogharimu Sh.bilioni 800, Kairuki...
30May 2023
Oscar Assenga
Nipashe
Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu wa Taasisi hiyo, mkoani humo, Mariam Mayaya, wamegundua tatizo hilo, baada ya kufanya ufuatiliaji kwenye eneo hilo.“Katika miradi 18, kati ya 70 tuliyofanya ufuatiliaji...
30May 2023
Beatrice Moses
Nipashe
Akizungumza kuhusu ziara hiyo leo Jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa Kamati ya  Usimamizi wa Miradi ya TASAF Zanzibar, Mwajuma Mussa Ali, amesema wanaamini kuna mambo tofauti ya kujifunza ambayo...
30May 2023
Neema Emmanuel
Nipashe
-na uchafuzi uliokithili katika Ziwa hilo.Hayo yamebainishwa na Ofisa Uhusiano wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Mhandisi Gerald Itimbula, katika mahojiano maalumu na Nipashe Dijital ofisini...
30May 2023
Beatrice Moses
Nipashe
 Afisa wanyamapori msaidizi wa Wilaya ya Rufiji, Theresia Moshi amesema mamba huyo ameuawa jana kwa risasi. "Mamba huyu alimvamia na kumuua mwanaume huyo, kisha akapata majeraha hivyo...
30May 2023
Mary Geofrey
Nipashe
Mradi huo umetengewa Sh. bilioni 2.9 ili kuwafuta machozi zaidi ya wananchi 221.Akizungumzia utekelezaji wa mradi huo leo, Mkurugenzi wa Usambazaji Maji wa MUWSA, Innocent Lugodisha, amesema mkakati...

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi David Silinde(kushoto) akipata kutoka kwa Joseph Mabula Mratibu wa Mradi Shirikishi wa Wasindikaji na Wazalishaji wa Maziwa (TI3P) unaoratibiwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) alipotembelea banda la benki hiyo katika maonesho ya wiki ya maziwa yanayofanyika mkoani Tabora.

30May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Kaimu meneja wa kanda ya Mgharibi  Benki ya Maendeleo Tanzania (TADB) Furaha Sichula (kulia) akiteta jambo na Mark Tsoxo Mkuu wa Programu wa shirika la Heifer International wakati wa maonesho ya...
30May 2023
Halfani Chusi
Nipashe
Hayo yamesemwa leo Jijin Dar es Salaam kwenye mkutano na wadau mbalimbali wa afya ikiwamo wa serikali, uliokuwa ukijadili kuhusu hatua za kuchukua ili kutokomeza Malaria. Amesema kwenye mikoa ya...
30May 2023
Maulid Mmbaga
Nipashe
Aidha, lengo kuu ni kuwawezesha kunufaika na upatikanaji wa mitaji na msaada wa kifedha kupitia program ya Funguo awamu ya pili ya maombi ya ufadhili kwa wajasiriamali.Hayo yamesemwa leo (Mei 30,2023...

Zitto Kabwe.

30May 2023
Julieth Mkireri
Nipashe
Aidha chama hicho kimeeleza kwamba katika uanzishwaji wa kiwanda hicho Serikali inatakiwa kualika nchi nyingine za nje  ziwe na hisa kwenye hicho kiwanda pamoja na sekta binafsi.ACT...

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango (wa pili kushoto) akipata maelezao kutoka kwa Mkurugenzi wa wateja wadogo na binafsi wa benki ya NBC Elibariki Masuke (kulia) alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa mkutano mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania -ALAT unaofanyika jijini Arusha. Benki ya NBC ilikuwa ni mmoja wa wadhamini wa mkutano huo.

30May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Dk. Mpango alitoa wito huo wakati alipotembela banda la benki hiyo katika Mkutano Mkuu wa 37 Jumuia ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) unaoendelea jijini Arusha.NBC Bank ilikuwa miongoni mwa...
30May 2023
Elizabeth John
Nipashe
Ameyasema hayo leo katika kikao cha jumuiya ya maridhiano ya amani mkoani humo kilichofanyika mjini Makambako, amesema kuwa dini ni muamala unaojitegemea na unataratibu zake nzuri na kila mtu...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenister Mhagama.

30May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenister Mhagama, wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasilisha bungeni Taarifa ya...
30May 2023
Thobias Mwanakatwe
Nipashe
Ametoa agizo hilo baada ya kutembelea na kukagua miradi 12 katika Halmashauri ya Wilaya Singida na kubaini miradi inayotekelezwa wameachiwa walimu,Wenyeviti wa vijiji na watendaji wa vijiji na...
30May 2023
Romana Mallya
Nipashe
Wamesema kutokana na fedha za mafao wanazozipata askari na maofisa wa polisi kuwa kidogo, wengi wao wanakufa muda mfupi baada ya kustaafu.Wakichangia mjadala wa makadirio ya Mapato na Matumizi ya...

Waziri Mhandisi Hamad Yussuf Masauni.

30May 2023
Romana Mallya
Nipashe
Imesema katika kudhibiti na kupambana na mmomonyoko wa maadili kwenye jumuiya za kidini na zisizo za kidini, Ofisi ya Msajili wa Jumuiya imesitisha shughuli za taasisi ya kidini ya Spirit Word...

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga.

30May 2023
Mary Kadoke
Nipashe
Taarifa ya LHRC ilijikita kwenye maeneo yabShirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyapori Tanzania (TAWA) pamoja na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest...
30May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Vitendo vya rushwa, ndivyo vinavyochangia kukwamisha shughuli za maendeleo kwa mtu mmoja na jamii kwa ujumla, hivyo ni wazi kwamba rushwa ni adui wa haki, utu na heshima ya binadamu.Kila mwaka...
30May 2023
Mhariri
Nipashe
Mkuu huyo wa wilaya ameanzisha mbio za wajawazito zenye lengo la kuondoa changamoto wanazokutana nazo wakiwa katika hali hiyo na vile vile kuwaweka katika afya bora.Alipotangaza kuanza kwa mbio hizo...

Pages