NIPASHE

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Abdallah Ulega (kulia), akimkabidhi nahodha wa Timu ya Soka ya Taifa (Taifa Stars), John Bocco, fedha kwa ajili ya posho na motisha ya kikosi hicho ambacho tayari kimeshatua Cameroon ili kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN). PICHA: MTANDAO