NIPASHE

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi David Silinde(kushoto) akipata kutoka kwa Joseph Mabula Mratibu wa Mradi Shirikishi wa Wasindikaji na Wazalishaji wa Maziwa (TI3P) unaoratibiwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) alipotembelea banda la benki hiyo katika maonesho ya wiki ya maziwa yanayofanyika mkoani Tabora.

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango (wa pili kushoto) akipata maelezao kutoka kwa Mkurugenzi wa wateja wadogo na binafsi wa benki ya NBC Elibariki Masuke (kulia) alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa mkutano mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania -ALAT unaofanyika jijini Arusha. Benki ya NBC ilikuwa ni mmoja wa wadhamini wa mkutano huo.