BIASHARA »
MWENYEKITI wa Mfuko wa Bima ya Taifa (NHIF), Anna Makinda, ametoa rai kwa serikali na mamlaka nyingine za kuajiri katika sekta ya afya nchini, pamoja na vigezo vingine kuzingatia cha upendo kwa...
UJENZI wa mradi wa mabwawa makubwa ya kufuga samaki katika Kijiji cha Kalimawe, Wilaya ya Same,...
SERIKALI ipo katika hatua ya kupitia upya sheria ya fidia ya uharibifu wa mazao unaofanywa na...
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amezindua vikundi vya wafanyabiashara wa mifugo na vya...
VIONGOZI wanne wa Chama cha Ushirika wa Mazao (Amcos) cha Manio, wilayani Siha, wamepandishwa...
SERIKALI imeutaka Umoja wa wenye Viwanda vya Mazao ya Misitu Kanda ya Kaskazini (Nofia)...
SHIRIKA la Maendeleo la Uholanzi (SNV) na Chama cha Wakulima wa Alizeti nchini (Sufa), wako...
WALIMU wa Shule za sekondari na vyuo kutoka mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, wamepewa mafunzo ya...
MENEJA wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Venance Mashiba,...
Pages
Picha »

1. Ofisa Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya Tigo, Tarik Boudiaf, akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Nipashe, Beatrice Bandawe, wakati alipotembelea vyombo vya habari vya IPP, Mikocheni jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni Mkurugenzi wa Masoko wa IPP, Joyce Luhanga (kushoto), Meneja Masoko na Mauzo, Kauthar D’souza (wa pili kushoto na Mhariri wa Gazeti la The Guardian, Wallace Mauggo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Alhajj Ali Mohamed Shein, akihutubia Baraza la Eid El Haji, katika viwanja vya Dole, Wilaya ya Magharibi A Unguja jana. PICHA: IKULU ZANZIBAR
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na watoto baada ya kushiriki Ibada ya Eid El Fitr kwenye Msikiti wa Anwar, Msasani jijini Dar es Salaam jana. PICHA: OWM