BIASHARA »
WACHIMBAJI wadogo wa madini ya dhahabu kutoka maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Chunya, wameandamana mpaka katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo kwa ajili ya kuwasilisha shukurani zao kwa Rais John...
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Philipo Mpango na Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji,...

Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja wa Vodacom Tanzania, Harriet Lwakatare, akizungumza na wanahabari (hawako pichani) wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'Naweza na Vodacom' uliofanyika jana, makao makuu ya kampuni hiyo, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia na Mkuu wa Idara ya Ufanisi kwa Wateja, Najenjwa Mbagga. PICHA:MPIGAPICHA WETU
KAMPUNI ya simu ya Vodacom Tanzania PLC, imezindua kampeni iitwayo “Naweza na Vodacom” kwa...
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Halotel imeanzisha huduma ya ‘Royal Bundle’ ambayo...
WAKULIMA wadogo wa migomba na mananasi wameshauriwa kujiunga kwenye vikundi vitakavyowawezesha...
SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, inatarajia kuanza mkakati maalumu wa kuongeza...
WAZIRI wa Madini, Dotto Biteko, ameagiza Tume ya Madini kufuta maombi ya leseni za watu na...
WAFANYAKAZI wa mashambani katika sekta binafsi mkoani Kilimanjaro ni kama ‘wanachekelea’ kimya...
SERIKALI wilayani, imewataka vijana wa waliopata mafunzo ya ujasiriamali na ujenzi wa vyoo bora...
Pages
Picha »

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na Balozi wa China hapa nchini Wang Ke kuashiria ufunguzi wa Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2100 kwa wakati mmoja. Wengine katika picha wanaoshuhudia ni Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba, Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Mama Kate Kamba, Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam Profesa William Anangisye
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga la Taifa, Dk. Hussen Mwinyi akihutubia Baraza la Eid Al Adha, lililofanyika Kitaifa katika viwanja vya Msikate Tamaa, Vingunguti jijini Dar es Salaam jana. PICHA: MIRAJI MSALA