Habari Maarufu
-
Rais John Magufuli
-
-
-
Kinara wa matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne 2020, Paul Luziga, akipunga mkono juu ya gari wakati alipopokelewa na msururu wa magari baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (SIA), jijini Mbeya jana, akielekea shuleni Panda Hill kwa ajili ya kupongezwa na walimu pamoja na wanafunzi wa shule hiyo. PICHA: NEBART MSOKWA
-
Rais Dk. John Magufuli akikagua madarasa ya Shule ya Sekondari Ihungo jana ambayo ilijengwa upya mara baada ya tetemeko la ardhi lililotokea mwaka 2016 mkoani Kagera. PICHA NA IKULU