SAFU »

MACHO na masikio ya wanachama na wapenzi wa CHADEMA wa Dar es Salaam na vitongoji vyake, leo yatakuwa yameelekezwa katika Uwanja wa Mwembe Yanga Temeke, kumsikiliza Tundu Lissu, baada ya kurejea...

MOJA ya mambo yanayosababisha kuwapo kwa maendeleo duni ya wanafunzi darasani, ni utoro ambao unachangiwa na sababu mbalimbali kama majukumu mengine wakati wa masomo.

BAADA ya dirisha dogo la usajili kumalizika na kuona wachezaji mbalimbali wakisajiliwa kutoka ndani na nje ya nchi, pia tumeshuhudia baadhi wakitolewa kwa mkopo.

NI wiki tatu au zaidi kuna sakata ambalo linaendelea kuhusu Feisal Salum 'Fei Toto' dhidi ya klabu yake ya Yanga.

KESHO Tanzania inaadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar, hongera kwa kila Mtanzania na Mzanzibari anayesimama na kutetea uhuru wa taifa hili kuanzia ule uliopatikana mwaka 1961 kwa upande wa...

BARAZA la Mitihani (NECTA) hivi karibuni limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la nne na kidato cha pili likieleza kuwa mambo si mazuri kwenye Kiingereza na Kiswahili.

WAKATI Kocha Zolan Maki alipoingia Simba alibainisha wachezaji anaowakubali na wale ambao alisema hawapo kwenye mipango yake.

MOJA kati ya mambo yaliyotawala kwenye matokeo ya mitihani ya kidato cha pili na darasa la saba ni kushuka viwango ya ufaulu, kuwapo udanganyifu pamoja na matusi.
MARA zote katika mafanikio yeyote huanza ndoto, mtazamo na hata kutazama na kujifunza kutoka kwa wengine. Ndipo linapokuja suala la uwekezaji.
WAKATI mwaka 2023 ukiwa kwenye wiki yake ya kwanza, wadau wa haki za binadamu na wachambuzi wa siasa wanataka kuongezwe usimamizi wa haki za binadamu, demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari.

WANAFUNZI wa kike ni waathirika wa rushwa ya ngono inayotokana na lifti za madereva wa bodadoba na daladala, wanaowarubuni kwa chips, daftari, pesa za matumizi, maji, ...

LIGI Kuu Tanzania Bara itasimama kwa wiki mbili kupisha michuano ya kila mwaka ya Kombe la Mapinduzi ambayo hufanyika mjini Zanzibar kwenye Uwanja wa Amaan.
MATESO wanayokumbana nayo baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wanaotumia usafiri wa umma, iwe daladala au mwendo kasi ni mengi.