SAFU »
MAENDELEO ni moja ya mada inayovuta mijadala sehemu yoyote na katika kada mbalimbali za kimaisha.

YUMKINI kuna mambo mengi ya msingi ambayo yanatakiwa kuwafikia wakulima kwa minajili ya kuongeza tija ya kilimo chao na ustawi kwa ujumla.

WANASHERIA wana msemo wao unaosema kuwa 'haki si tu itendeke, bali pia ionekane imetendeka.'
‘UCHAWI’ ni ufundi wa kutumia dawa au maandishi maalumu ya uganga ili kuleta madhara kwa viumbe; sihiri. Kitu chochote kinachotumiwa na mganga wa kienyeji kuleta madhara kwa mtu mwingine. Zana...
ELIMU ni nini? Katika mtazamo wa jumla, ni maarifa, uelewa na ujuzi anaoupata mtu kupitia namna mbalimbali, kama mafunzo rasmi na yasiyo rasmi, kwa lengo la jumla au mahsusi.

LISHE duni hudumaza ukuaji wa watoto kimwili na kiakili. Pia, inamuathiri ukuaji wa akili yake, hivyo kupunguza uwezo wa kufanya vizuri shuleni na pia hupunguza ufanisi katika maisha ya utu uzima...

IKO haja ya serikali kuangalia upya fomu ya maelezo iitwayo PF3, iliyowekwa kwa Jeshi la Polisi ili iwe rafiki kwa wananchi pindi wanapopata ajali.

ZAO la korosho ni chanzo kikuu cha fedha na tegemeo la kiuchumi kwa wakazi wa mikoa ya Kusini mwa Tanzania ikiwamo mikoa ya Lindi na Mtwara, na ni miongoni mwa mazao ambayo serikali inayachukulia...
KILIMO ni sekta inayotegemewa zaidi nchini katika kukuza uchumi na kuendeleza ustawi wa maisha kwa Watanzania walio wengi.

WAKATI mwingine Mwenyezi Mungu anaweza kukupa neema, halafu ukaichezea mwenyewe na kujikuta ikikuponyoka.
Inapoondoka, mtu anaanza kupiga kelele kuwa kuna watu wabaya wamemsababishia...
‘KISASI’ ni tendo analofanya mtu kwa mwingine kulipiza ubaya aliofanyiwa. Dhamiri ya mtu kumfanyia mwingine ubaya kulipiza uovu aliofanyiwa yeye kabla.

HIVI karibuni, Rais Dk. John Magufuli, aliwalekeza wakuu wa wilaya nchini, kuacha kutumia vibaya madaraka yao, kwa kuweka watu mahabusu kwa saa 24, pasipo kuwafikisha mahakamani.

SERIKALI imekuwa ikifanya juhudi mbalimbali za kuhakikisha wazee wanaishi maisha bora, yenye staha kwa kutekeleza Sera ya Taifa ya Afya ya Mwaka 2007.