SAFU »

WAZAZI na walezi wamekuwa na mwitikio mkubwa wa kuwapeleka shuleni watoto wao, ili wapate elimu bila kujali kuwa wanaposoma ni mbali au karibu.

MATUMIZI ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) yanatajwa kuwa nyenzo muhimu kwa walimu na wanafunzi ili kuwaongezea uelewa zaidi kuhusu masuala ya teknolojia ya kidijitali madarasani....

HATIMAYE Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania kimepata viongozi wake watakaokiongoza kwa kipindi cha muhula mwingine, baada ya kupita miaka mingi bila ya kuwa na viongozi.

BEI ya mafuta kwa sasa ipo juu na sasa imeongeza gharama kwa wananchi kwa kuongezeka kasi ya ugumu wa maisha, kwa kiwango kikubwa kutokana na bei za bidhaa au kwa lugha rahisi mfumuko wa bei.

JUMAPILI Mei 8, ilikuwa siku tulivu kwa wanawake ambayo imepewa jina la Siku ya Mama –Mama’s day. Ulikuwa ni wasaa mwingine wa kuwapa kinamama mahaba, pongezi, kuwazawadia, kuwashika mikono na...

MJADALA umeendelea kuwa mkali sana kwenye vituo vya redio, televisheni, mitaani, hasa kwenye vijiwe vya kunywa kahawa, mipira, vituo vya wauza magazeti, mabasi, ndani ya daladala na kwenye...

UMETIMU msimu wa mvua na sasa unaendelea katika baadhi ya mikoa nchini. Nianze kusema ni neema kwa wakulima na sote, maana chakula ni muhimu kwa kila mmoja wetu, wakati huohuo mvua ina umuhimu...

KATIKA kupambana na vifo vya wajawazito, serikali imechukua hatua mbalimbali, zikiwamo kuanzisha kampeni maalum ya ‘Jiongeze Tuwavushe Salama’ iliyoanzishwa na aliyekuwa Makamu wa Rais na sasa,...
RAIS Samia Suluhu Hassan, anahitimisha kilele cha Siku ya Uhuru wa Habari Duniani kwa Afrika, akiwaonya waandishi wa Afrika, kujitazama kwani wanairipoti vibaya Afrika kama vile ambavyo...

LEO ni kilele cha maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 3 ya kila mwaka kwa lengo la kukuza uelewa wa umuhimu wa uhuru wa tasnia ya habari.

ILIKUWA ni kawaida miaka kadhaa nyuma kusikia majina ya wachezaji wa Kitanzania yakitajwa mara baada ya mechi za watani wa jadi, Simba na Yanga kumalizika.

DUNIA ya sasa ya soka kumekuwa na watu wanaoitwa wachambuzi ambao kwa kiasi kikubwa wameufanya mchezo huo kuendelea kupendwa na mashabiki mbalimbali.

SUALA la usafi lina maana kubwa na inatakiwa jamii ielewe nini mantiki yake kwa undani na uelewa wa kina.