SAFU »

HIVI karibuni, Mwenge wa Uhuru ulihitimisha mbio zake mkoani Pwani, ukiwa umepitia miradi 99 yenye thamani ya Shilingi trilioni 4.46 huku kukiwa hakuna hata mradi mmoja uliokataliwa.

RUSHWA ni adui wa haki, utu na heshima ya binadamu, vilevile vitendo vya utoaji na upokeaji rushwa, vimekuwa vikileta vilio karibu sekta zote, sehemu ya kazi na maeneo mengine ya kutolea huduma za...

SASA ni wazi kilio cha wadau hasa wanasiasa waliokuwa wakitamani kufufuliwa kwa mchakato wa katiba mpya kimesikika, hiyo ni kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan...

MIAKA ya hivi karibuni, umeibuka mtindo wa baadhi ya wanafunzi wanaochagulia kuanza kidato cha kwanza kutoripoti katika shule walizopangiwa, huku kukiwa hakuna taarifa zozote za kutoripoti.

WAKATI tunasoma shule kuanzia shule ya msingi hadi sekondari, tumefundishwa vitu vingi ikiwamo historia za mashujaa wetu, kuna Mtemi Milambo, Mkwawa, Pazi, Songea Mbano, Kinjekitile na wengine...

MITIHANI ya mwisho ya kidato cha sita nchini, imeanza rasmi tarehe mbili mwezi huu wa tano na itakamilika tarehe 22 ya mwezi huu. Mitihani hii itafanyika, sambamba na mitihani ya wanafunzi...
.jpg?itok=nfwjwDzv)
KARIBU tena msomaji wangu tuendelee kuelimishana kuhusu mikiki mikiki ya maisha. Mengi yamejificha katika familia zetu, huku mengine tukiyashuhudia na kudhani kuwa Maisha Ndivyo Yalivyo kumbe ni...
KATI ya masuala ambayo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, mara tu baada ya Uhuru, alizama kuyapa msisitizo kwa vitendo, ni kuwapo mikakati suala la usafi katika jamii.

KUMEKUWA na taarifa ambazo hazijathibitishwa kwa pande zote kuwa kipa namba mbili wa Klabu ya Simba, Beno Kakolanya amefikia makubaliano na Singida Big Stars kwa ajili ya kuichezea timu hiyo msimu...

MIMBA kwa wanafunzi zimeendelea kuwa tatizo sugu nchini kwa kipindi kirefu, licha ya jitihada mbalimbali za serikali na wadau wa elimu, katika kushughulikia ili kuhakikisha watoto wa kike...

MIMBA kwa wanafunzi zimeendelea kuwa tatizo sugu nchini kwa kipindi kirefu, licha ya jitahada mbalimbali za serikali na wadau wa elimu, katika kushughulikia, li watoto wa kike wanatimiza ndogo zao...

KESHO, Jumanne na Jumatano, Tanzania, hasa jijini Dar es Salaam, kutakuwa na pilikapilika kubwa wakati wawakilishi wa Tanzania kwenye michuamo ya kimataifa, Simba na Yanga zinatapocheza mechi zao...

BAADHI ya wanachama na mashabiki wa Simba wameonekana kukata tamaa kwa timu yao kusonga mbele kwenye hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya kufungwa mabao 3-0 na Raja Casablanca kutoka...