MAONI YA MHARIRI »
JUMATANO, Rais Samia Suluhu Hassan, aliwashangaa wabunge wanaorodhesha matatizo ya maeneo yao, huku akiwataka wawajibike kuepuka kuwa walalamikaji...
JUZI Rais Samia Suluhu Hassan, aliongea na machinga kwa simu na kuahidi kuwa mwaka wa fedha unaoanza Julai mwaka huu, ofisi yake itatoa Sh....
WADAU mbalimbali wanaeleza fursa zinazoibuliwa kuwapo kwa Filamu ya Royal Tour, ikiwamo umuhimu wa kufanya mabadiliko ya sheria na sera mbalimbali...
KWA hali ya kawaida kila klabu inapopambana kuhakikisha inaingiza timu yake kwenye Ligi Kuu inakuwa na malengo.
JUZI Bunge liliagiza serikali kuangalia upya vigezo vya utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu, ili kupunguza malalamiko ya kutokuwa na...
SERIKALI jana ilitangaza hatua mbalimbali za kupunguza bei za mafuta ifikapo Juni Mosi, mwaka huu, lengo likiwa kupunguza ukali wa maisha kwa...
KWA takribani miaka mitatu kila inapotangazwa nafasi za kazi za utumishi wa umma watu hujitokeza kuomba na ambao waliopita hatua ya awali ya...
SOKA letu linahitaji uwanja huru na mpana zaidi katika kujadili maendeleo yake na vikwanzo vinavyochangia kushindwa kusonga mbele kwa kasi zaidi...
RUSHWA imekuwa ikileta vilio karibu sekta zote ikiwamo ya elimu, sehemu ya kazi na maeneo mengine ya kutolea huduma za kijamii, na kukwamisha...
MAANDALIZI ya Sensa ya Watu na Makazi itakayotarajiwa kufanyika Agosti 23, mwaka huu, yamefikia zaidi ya asilimia 81, na inakisiwa kwamba hadi...