MAONI YA MHARIRI »
KUNA malalamiko ambayo yamekuwa yakitolewa mara kwa mara katika siku za karibuni, kuhusiana na namna wasimamizi wasaidizi na makarani katika vituo...
KATIBA ya Tanzania imeweka bayana madaraka ya Bunge kuwa ni kujadili utekelezaji wa kila Wizara wakati wa mkutano wa Bunge wa kila mwaka wa bajeti...
SUALA la mafuta ya kula kuwa changamoto kila wakati limeanza kuwa kama jambo la mazoea. Kama ambavyo sukari nayo inafika kipindi ikaondoka sokoni...
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa sasa wanachosubiri ni kujua mpinzani wao wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye droo...
WASWAHILI wanasema kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho. Kwa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara ndio inaelekea ukingoni zikiwa zimebakia raundi...
LEO Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kinafanya uchaguzi wa rais ambaye kwa mujibu wa katiba yao anakaa madarakani kwa muda wa mwaka mmoja...
JUZI Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alieleza bungeni nia ya serikali kushirikisha wadau katika kutoa maoni yao kwenye mapitio ya kanuni za...
JUZI Rais wa Shirikisho la Vyama Huru vya Wafanyakazi (TUCTA), alieleza matarajio makubwa waliyonayo kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kuelekea...
JUZI Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), aliibua madai mazito dhidi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kumfilisi fedha...
ZIKIWA zimebakia raundi tisa ili kumalizika kwa msimu wa mwaka 2020/21 wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inashirikisha timu 18 za hapa nchini,...