-hata siku moja wakati wanapofanya tendo la ndoa.
Tukio hilo limetokea wakiwa nyumbani kwao Igembe, Chifu wa eneo hilo la Ntunene aitwaye Edward Mutalii amesema alipata taarifa na alipofika eneo la tukio alikuta korodani ya mwanaume huyo ikiwa chini baada ya kuvutwa sana mfuko wa uzazi na Mkewe na kuikata korodani moja.
Polisi wamemkamata mwanamke huyo na kwa sasa anashikiliwa akisubiri kufikishwa mahakamani lakini Mwanamke huyo anasisitiza amefanya hivyo kwakuwa kamwe mumewe hajawahi kumridhisha wakati wa kufanya tendo la ndoa.