Dereva huyo aliyekuwa mkazi wa eneo la Nzuguni alisombwa na maji yaliyotokana na mvua inayoendelea kunyesha alipokuwa akivuka korongo linalounganisha eneo la Nzuguni A na B, jijini hapa.
Akizungumza na Nipashe, Diwani wa Kata ya Nzuguni, Aloyce Luhega, alisema alipigiwa simu majira ya saa 9:30 usiku na mmoja wa wananchi iliyoeleza kwamba kuna gari limesombwa na maji likiwa na mtu ndani.
Soma zaidi: https://epaper.ippmedia.com