Balozi wa Ufaransa hapa nchini, Nabil Hajlaoui (wa pili kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, wakati alipokutana na wafanyabiashara wa makampuni arobaini kutoka nchini humo wanaotaka kuwekeza hapa nchini. PICHA: JUMANNE JUMA