NDANI YA NIPASHE JUMAPILI

19Mar 2023
Halfani Chusi
Nipashe Jumapili
Majaliwa alitoa onyo hilo jana jijini Dodoma wakati akifunga mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya 138 yaliyofanyika kwa siku sita ya kuanzia Machi 13, mwaka huu.Alisema wakuu wa wilaya ni kiungo...
12Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Hayo yamekuja kutokana na ofa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kutoa Sh. milioni 5 kila goli litakalopatikana kwa timu za Simba na Yanga. Simba ikishiriki Ligi...
12Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Akizungumza jana mbele ya waandishi wa habari, uongozi wa bodi ya Maji ya mto Kilombero pamoja na watafiti wa masuala ya Maji kutoka chuo cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhandisi Mkazi katika ujenzi wa...
12Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Taarifa hiyo ilitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Philip Besiimire alipozungumza na wateja kwa mara ya kwanza kupitia programu ya ‘VODA CHAT’ iliyofanyika kwa njia ya...
12Mar 2023
Elisante John
Nipashe Jumapili
Ajali hizo zimekuwa zinachangiwa na miteremko na kona kali zinazokatiza kwenye madaraja ya kina kirefu na kusababisha madereva wengi kushindwa kumudu magari yao eneo hilo la barabara kuu ya Singida-...
12Mar 2023
Romana Mallya
Nipashe Jumapili
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo vilivyotokea usiku wa kuamkia jana.Alisema vifo hivyo vimetokana na mvua inayoendelea kunyesha mkoani humo.Kamanda...

MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji.

12Mar 2023
Julieth Mkireri
Nipashe Jumapili
Amesema mpaka sasa serikali haijaweka hadharani kauli ya lini mchakato wa sheria ya mabadiliko ya katiba utawasilishwa bungeni kwa ajili ya kutoa fursa ya sheria hizo kutumika katika upatikanaji wa...

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Kamishna Msaidizi wa Polisi Mtatiro Kitinkwi.

12Mar 2023
Christina Mwakangale
Nipashe Jumapili
Tukio hilo lilitokea jana asubuhi na kusababisha taharuki kwa watumiaji wa kituo hicho ambacho husafirisha abiria wa ndani na nje ya nchi.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Kamishna...
12Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Programu hiyo ina lengo la kuwajengea uwezo na kuwaongezea ujuzi wanawake katika uongozi ili waweze kumudu nafasi za juu za uongozi.Mgeni rasmi katika mkutano huo alikuwa Waziri Mkuu Kassim...
05Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Kutoakana na msako ambao umekuwa ukifanywa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Mkoa Njombe hatimaye mwendelezo wa kukamata watu wenye nia ovu ya kuchakachua pembejeo za mbolea na kuwatia...

Maofisa wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) na Maofisa wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), wakiwa katika picha ya pamoja walipotembelea Bwawa la Mwalimu Juliua Nyerere (JNHP)

05Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Mhandisi Mkazi wa mradi wa JNHPP, Lutengano Mwandambo wakati akizungumza na uongozi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) uliotembelea mradi huo."Tunashukuru...

MKURUGENZI wa Fedha wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),
Renata Ndege akipanda mti katika Shule ya Msingi Nyani Wilayani Kisarawe mara baada ya kukabidhi kisima cha maji, ikiwa ni jitihada za kutunza mazingira na kurudisha kwa jamii.(Picha na Mpigapicha Wetu)

05Mar 2023
Maulid Mmbaga
Nipashe Jumapili
Akizungumza jana wakati wa kukabidhi kisima hicho, Mkurugenzi wa Fedha wa TANESCO, Renata Ndege aliyemwakilisha Mkurugenzi Mkuu, Maharage Chande alisema licha ya kwamba kazi kubwa ya shirika ni...
05Mar 2023
Neema Hussein
Nipashe Jumapili
Mrindoko alitoa angalizo hizo juzi wa uzinduzi wa Mradi wa Shinda Malaria mkoani Katavi uliofanyika kwenye Kijiji cha Vikonge, Kata ya Tongwe, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika, ukitekelezwa kwa...
05Mar 2023
Friday Simbaya
Nipashe Jumapili
Idadi hiyo ya meno ni sawa na tembo sita wenye umri tofauti waliouawa wenye thamani ya dola za kimerakani 90,000 (Sh. milioni 206.8), kwa mujibu wa jeshi hilo.Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya...

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishna Msaidizi (ACP) Safia Jongo.

05Mar 2023
Renatus Masuguliko
Nipashe Jumapili
Watuhumiwa wa matukio hayo wanashikiliwa na polisi na baada ya upelelezi kukamlilika, watafikishwa mahakamani Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Kamishna Msaidizi (ACP) Safia Jongo, alisema hayo juzi...
05Mar 2023
Jumbe Ismaily
Nipashe Jumapili
Hakimu Mkazi Robert Oguda, akitoa hukumu hiyo juzi, alisema vitendo vya ubakaji wa watoto chini ya miaka 10 adhabu yake ni kifungo cha maisha na kuanzia miaka 11 adhabu yake ni kifungo cha miaka 30...

KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe.

05Mar 2023
Romana Mallya
Nipashe Jumapili
Kwa kuzingatia hilo, Zitto amesema hawatoacha kusema wanapoona maslahi ya wananchi yanakanyagwa.Alitoa kauli hiyo jana kwenye mkutano wa chama uliofanyika kisiwani Pemba kwenye Uwanja wa Tibirinzi...

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo.

05Mar 2023
Augusta Njoji
Nipashe Jumapili
Pia, ziara hiyo inalenga kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025.Akiwa katika mkutano wa shina namba 16 kijiji cha Hirbadaw wilayani Hanang, Chongolo amesema CCM...

Mbunge wa zamani wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA).

05Mar 2023
Na Waandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Wakati wabunge hao wakiibua mashambulizi dhidi yake, Lema jana alizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha na kutoa ufafanuzi juu ya kauli yake hiyo akibainisha kuwa biashara hiyo ni chanzo cha...
05Mar 2023
Elizabeth John
Nipashe Jumapili
Akizungumza wakati wa zoezi la utiaji saini wa mikataba hiyo,Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Njombe, Mhandisi Sadiki Chaka,amesema miradi hiyo inatarajiwa...

Pages