NDANI YA NIPASHE JUMAPILI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Jenista Mhagama (katikati), akipata maelekezo viatu vinavyotengenezwa kwa ngozi kutoka kwa Afisa Masoko wa kiwanda cha Viatu cha Gereza la Karanga, Fredrick Njoka (kushoto), wakati wa ziara yake kiwandani hapo, mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana. PICHA: OWM