NDANI YA NIPASHE JUMAPILI

Mhandisi Mshauri wa mradi wa Ujenzi wa Daraja la JPM (Kigongo - Busisi) Abdulkarim Majuto akitoa maelezo kwa wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu inayoongozwa na mwenyekiti wake Selemani Kakoso ( kwenye raba nyeupe) juu ya hatua mablimbali za Ujenzi zinazoendelea wakati walipotembelea mradi huo Jana, PICHA NA ELIZABETH FAUSTINE

Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, Selemani Jafo akisikiliza maelezo kutoka kwa mjasiriamali Betty Mkwasa alipokuwa mgeni rasmi kwenye maonyesho ya pili ya wajasiriamali wanawake yaliyoandaliwa na Chama cha Wafanyabiashara wanawake (TWCC), yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam

Ofisa Kitengo cha Kadi Benki ya NMB, Lightness Zablon, akizungumza wakati wa kuchezesha droo ya saba ya Kampeni ya ‘NMB Mastabata Kivyako Vyako’ iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Ofisa Huduma kwa Wateja, Suzan Manga na kushoto ni Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzana (GBT), Elibariki Sengasenga.