NDANI YA NIPASHE JUMAPILI
07Aug 2022
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Mkuu wa Idara ya Kilimo Biashara wa NMB, Isaac Masusu aliyasema hayo kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane ambayo kitaifa yanafanyika katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.Alitoa...
07Aug 2022
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Wachezaji hao wakiongozwa na Kapteni John Bocco, wameungana na Shomari Kapombe, Aishi Manula, Erasto Nyoni na wazawa wengine kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan kuwa wako tayari kuhesabiwa."...
07Aug 2022
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Bashe amesema hayo leo Agosti 7, 2022 alipopewa fursa na Rais Samia Suluhu Hassan kusalimia wananchi wa Kiwira wilayani humo katika ziara ya Mkuu huyo wa nchi mkoani Mbeya.Bashe ameeleza msimamo wa...
07Aug 2022
Salome Kitomari
Nipashe Jumapili
Licha ya kuwa na maadhimisho kitaifa yanafanyika jijini Mbeya, kila kanda maadhimisho yanaendelea kwa taasisi, mashirika, watu binafsi na wakulima mmoja mmoja kuonyesha kazi zao ambazo ni muhimu kwa...
07Aug 2022
Flora Wingia
Nipashe Jumapili
Kijana mmoja aitwaye Selestine, msomaji mzuri wa gazeti hili na pia safu hii, alinisimulia kisa kimoja cha kusisimua kuhusu shangazi yake aliyejifungua boga badala ya mtoto miaka kadhaa iliyopita....
07Aug 2022
Mary Geofrey
Nipashe Jumapili
Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, amesema tatizo la deni la dawa walilonalo siyo sababu kwa MSD kusitisha kupeleka dawa katika zahanati hiyo kwa kuwa wananchi wanahitaji kuendelea kupata huduma....
07Aug 2022
Steven William
Nipashe Jumapili
Ofisa Lishe Wilaya ya Muheza mkoani Tanga, Emmanuela Lawrence, alibainisha hayo jana wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji uliofanyika kwenye Kituo cha Afya Ubwari,...
07Aug 2022
Marco Maduhu
Nipashe Jumapili
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga, Leonard Nyandahu, alikiri kutokea kwa tukio hilo juzi jioni na sasa wanamshikilia mtuhumiwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi.Mwenyekiti wa Mtaa wa...
07Aug 2022
Nebart Msokwa
Nipashe Jumapili
Alitoa agizo hilo jana wilayani Chunya mkoani Mbeya alipozungumza na wananchi wa wilaya hiyo katika Kata ya Matundasi baada ya kuzindua barabara ya Chunya-Makongolosi yenye urefu wa Km 39....
07Aug 2022
Sanula Athanas
Nipashe Jumapili
Vyoo chakavu, baridi limetawala sakafu., Madarasa matatu ndani ya chumba kimoja.
Licha ya kupata sura moja ya ukarimu wa ukaribisho kutoka kwa wenyeji shuleni, mrejesho ulitekwa zaidi na ugeni dhidi ya mandhari yaliyoshuhudiwa. Mazingira yamezungukwa na ukungu, baridi la hali ya...
07Aug 2022
Vitus Audax
Nipashe Jumapili
Akizungumza na Nipashe katika maonyesho ya Nanenane Kanda ya Ziwa, Kaimu Meneja wa mamlaka hiyo kwa kanda hiyo, Hanafi Mohamed alisema serikali imetoa Shilingi bilioni 150 kwaajili ya ruzuku ya...
31Jul 2022
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Taarifa hiyo imetolewa hii leo Julai 31, 2022, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, na kusema Meja Jenerali Mzee, ataapishwa kesho Agosti Mosi, 2022.Meja Jenerali Suleiman Mzee,...
31Jul 2022
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Waziri wa Nchi wa Ofisi hiyo, Dk.Selemani Jafo, ametoa kauli hiyo jana aliposhiriki usafi katika soko la bonanza kwa kushirikiana na Mabalozi wa Mazingira Mkoa wa Dodoma.Amesema lengo la kampeni...
24Jul 2022
Neema Emmanuel
Nipashe Jumapili
Wito huo umetolewa na Makamu Mwenyekiti wa hiyo, Octavian Mshiu wakati wajumbe wa bodi hiyo walipotembelea na kukagua barabara ya Shule ya Msingi Igoma yenye urefu wa mita 370 inayojengwa kwa mawe...
24Jul 2022
Marco Maduhu
Nipashe Jumapili
Maadhimisho hayo yatafanyika Agosti 12 mwaka huu, ambayo yameandaliwa na Baraza la vijana wa Chadema (BAVICHA), huku Mgeni Rasmi akitarajiwa kuwa ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freman Mbowe....
24Jul 2022
Romana Mallya
Nipashe Jumapili
Hivyo, imetoa wito kwa vyuo vyote vinavyodahili wanafunzi hao, kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyowekwa ili kuepuka usumbufu au hasara inayoweza kujitokeza kwa waombaji au kwa...
24Jul 2022
Beatrice Shayo
Nipashe Jumapili
Ulega alibainisha hayo juzi jijini Dodoma wakati wa kikao cha wizara na wadau wa tasnia ya kuku kilicholenga kujadili namna ya kukuza tasnia hiyo na utekelezaji wa sheria ya mwaka 2006.Serikali...
24Jul 2022
Na Waandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Vilevile, chama hicho kimesisitiza wananchi walifanya makosa kukubali kuingia katika mfumo wa vyama vingi pasina kufanya marekebisho stahiki ya kisheria, ikiwamo kuyabana majeshi katika kuingilia...
24Jul 2022
Augusta Njoji
Nipashe Jumapili
Hivi karibuni, Rais Samia Suluhu Hassan alitangaza nyongeza ya mishahara kwa watumishi hao kwa asilimia 23.3.Akizungumza na Nipashe jana kwa njia ya simu, Katibu wa TUCTA, Henry Mkunda, alisema...
17Jul 2022
Na Mwandishi Wetu
Nipashe Jumapili
Maonesho hayo yameratibiwa na Chama cha Wafugaji Mifugo Kibiashara Tanzania (TCCS). Akizungumza jana wilayani Chalinze ambapo unafanyika mnada huo, Ofisa Mwandamizi wa TADB, Furaha Sichula...