NDANI YA NIPASHE LEO

28Sep 2023
Pilly Kigome
Nipashe
Uwekezaji huo umefanywa kwa zaidi ya Shilingi bilioni 5 na kampuni ya MSALABS ambapo maabara hiyo utakuwa na  kiwango cha kimataifa itakayokuwa rafiki wa mazingira.Hayo yamebainishwa Septemba 27...

Mratibu wa Mradi wa Bombo la Mafuta kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu.

28Sep 2023
Ibrahim Joseph
Nipashe
Mratibu wa Mradi wa Bombo la Mafuta kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu amesema hayo leo Jijini Dodoma wakati alipowasilisha mada yake kwenye semina iliyoendeshwa...

Mkurugenzi wa Wateja wadogo na Binafsi wa Benki ya NBC Elibariki Masuke (wanne kushoto) na Mkurugenza wa Fedha wa Kampuni ya Mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC), Oswald Urassa (wa tano kulia) wakishirikiana kuzungurusha nembo maalum yenye muonekano wa nyumba ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kampeni ya ‘Mkopo wa Nyumba wa NBC’ inayolenga kuchochea kasi ya upatikanaji wa makazi bora nchini wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo iliyofanyika siku ya Jumatano jijini Dar es Salaam. Wengine ni wadau wa kampeni hiyo akiwemo Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ujenzi ya CPS, Sebastian Dietzold (wa tatu kulia), Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Nabaki Afrika Russel Stuart na wafanyakazi wa benki hiyo.

28Sep 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Kuchochea kasi upatikanaji makazi bora...
Hatua ya benki hiyo inatajwa inalenga kuchochea kasi ya upatikanaji wa makazi bora nchini.Hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo inayofahamika kama ‘Mkopo wa Nyumba wa NBC’ ilifanyika...
28Sep 2023
Jumbe Ismaily
Nipashe
Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Nuru Chiwalo, alidai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Novemba, 13, 2022 katika Kitongoji cha Munyu, kwa kumfanyia kitendo hicho na hivyo kumsababishia maumivu makali...

Afisa Mtendaji Mkuu  NaCoNGO, Racheal Chagonja.

28Sep 2023
Beatrice Shayo
Nipashe
Akizungumza Jijini Dar es Salaam na  waandishi wa habari, Afisa Mtendaji Mkuu  NaCoNGO, Racheal Chagonja, amesema mkutano huo huwa unafanyika kila mwaka na washiriki zaidi ya 2,000 ambao ni...

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Hashil Abdallah.

28Sep 2023
Miraji Msala
Nipashe
Hayo ameyasema wakati  akifunga warsha ya siku moja ya kujadili namna bora ya kuwekeza katika sekta ya kilimo kwa maendeleo endelevu ya nchi. "Haya ni matokeo ya mkutano wa Kimataifa...
28Sep 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mapema wiki hii Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Jomaary Satura akishirikiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), alitoa tangazo akieleza kuwa wanakusudia...

MKUU wa Wilaya ya Nzega, Naitwapwaki Tukai.

28Sep 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
-hivyo atakula naosahani moja.Naitwapwaki amesema hayo wakati wa usambazaji wa vyandarua unaofanywa na Bohari ya Dawa (MSD), ambapo amesema kuwa hatakubali kuona jitihada za Rais Dk. Samia Suluhu...

Sylvain Itte.

28Sep 2023
Nipashe
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Catherine Colonna alikutana na kufanya mazungumzo na Itte ambapo amemshukuru Itte kwa kulitumikia taifa katika mazingira magumu."kumshukuru yeye na timu yake...
28Sep 2023
Hamisi Nasiri
Nipashe
Kutokana na dosari hiyo, baadhi ya wanafunzi hulazimika kurejea nyumbani kujisaidia huku baadhi yao wakijisitiri vichakani. Imeelezwa na uongozi wa shule hiyo kuwa matundu sita yaliyoko shuleni, pia...
28Sep 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mkurugenzi Mkuu wa TAA, Mussa Mbura amesema kazi ya ufungaji taa katika kiwanja hicho imefikia zaidi ya asilimia 90 na majaribio ya kuziwasha yameanza, “Majaribio ya kuziwasha yameanza Septemba...
28Sep 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Baada ya kupandishwa kizimbani, Matesi alisomewa mashtaka matatu ya kumdanganya ofisa wa polisi kuwa yeye ni ofisa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, kumdanganya Mkuu wa Usalama Barabarani kuwa ni ofisa...
28Sep 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mwanafunzi huyo amemjeruhi mwalimu huyo kwa kumkata na panga kisogoni akiwa ofisini, baada ya kumrejesha nyumbani kwa ajili ya kwenda kunyoa ndevu na kuvaa viatu. Baada ya kurejea kutoka nyumbani,...

Nancy Sumari.

27Sep 2023
Frank Monyo
Nipashe
Akizungumza na Nipashe jana jijini Dar es Salaam, Mwanzilishi na mratibu wa onesho hilo, Deogratius Kithama, alisema kuwa huu ni mwaka wa sita tangu kuanzishwa kwa onesho hilo ambapo kwa mwaka huu...

Dk. Sophia Mosha.

27Sep 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Nasaha hiyo imetolewa na wataalamu wa Afya kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba (BRRH) walipotembelea Shule ya Sekondari Rugambwa, Kaizilege, na  Ihungo zinazopatikana Mnispaa ya Bukoba...

Picha mwenyekiti wa shirika linalojihusha na masuala ya watu wenye ulemvu la FDH,Michael Salali akizunguza katika moja ya mikutano ya watu wenye ulemavu nchini.

27Sep 2023
Paul Mabeja
Nipashe
Mkurugenzi wa Shirika la Foundation For Disabilities Hope (FDH) Michael Salali, amebainisha hayo leo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu fursa hiyo.Amesema shirika la STAMICO,...

Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kinondoni, Bibie Msumi.

27Sep 2023
Beatrice Moses
Nipashe
Rushwa hiyo ya ngono imesababisha athari kadhaa kwenye jamii ikiwamo kujenga hofu kwa baadhi ya wazazi na wanafunzi watarajiwa kujiunga na vyuo hivyo.Mkuu wa Dawati la Elimu kwa Umma wa Taasisi ya...

Afisa Habari na Mawasiliano Timu ya JKT Tanzania Masau Bwire akizungumza na vyombo vya habari mkoani Shinyanga

27Sep 2023
Marco Maduhu
Nipashe
Afisa Habari na Mawasiliano kutoka timu ya JKT Tanzania Masau Bwire, amebainisha hayo leo wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari mkoani Shinyanga.Amesema timu hiyo imeuchagua uwanja wa CCM...

Arafat Haji.

27Sep 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Makamu wa Rais wa klabu hiyo, Arafat Haji, amesema ushindi wa mabao 2-0 ugenini katika Uwanja wa Kigali Pele, Nyamirambo nchini Rwanda, uliochezwa Septemba 16, mwaka huu, unawapa matumaini makubwa ya...
27Sep 2023
Pilly Kigome
Nipashe
Hayo yamesemwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Geita, Grace Kingalame ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale wakati akihairisha semina kuhusu fursa za kijamii na kiuchumi zinazopatikana mkoani...

Pages