NDANI YA NIPASHE LEO

17May 2023
Julieth Mkireri
Nipashe
Mradi huo ambao unatarajia kukamilika mwezi June mwaka huu ambao unatekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA)  Wilaya ya Kibaha kwa gharama ya Sh.milioni 328.7....
17May 2023
Idda Mushi
Nipashe
Maagizo hayo ya siku saba yaliyotolewa Mei 11 yalikuwa ni pamoja na kuchora alama za pembeni mwa barabara na vivuko vya waenda kwa miguu kwenye barabara hiyo ya Manyara iliyopo Kitongoji cha Unguu...
17May 2023
Frank Monyo
Nipashe
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi, amekabidhi gawio hilo kwa Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, aliyeiwakilisha serikali wakati hafla fupi ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo...
17May 2023
Marco Maduhu
Nipashe
 Kadi hizo wamekatiwa juzi na Taasisi ya Nancy Foundation ambayo ndiyo imekuwa ikitekeleza mradi wa kuwaondoa watoto wanaoishi mitaani  katika Manispaa ya Shinyanga na kuwarudisha majumbani...
17May 2023
Restuta Damian
Nipashe
Wamesema mashine hizo katika msimu wa masika zitasaidia kudhibiti hasara ambazo zimekuwa zikijitokeza kutokana na dagaa wengi kuharibika kutokana na mvua na uhaba wa jua la kukausha dagaa hao....
17May 2023
Daniel Limbe
Nipashe
Bandari hiyo ilisitisha kutoa huduma mwaka 2002, mnamo mwaka 2017/18 serikali kupitia TPA ilitenga Sh. bilioni 4.1 kwa ajili ya ukarabati na ujenzi mkubwa wa bandari hiyo na mkandarasi alianza kazi...
17May 2023
Godfrey Mushi
Nipashe
 Akiwasilisha taarifa ya mauzo ya kahawa kwa mwaka 2022/23 wakati wa mkutano mkuu wa mwaka uliofanyika jana, Mwenyekiti wa Lukani/Losaa Amcos Ltd, Ebenetho Munuo, alisema kampuni ya Marekani...
17May 2023
Grace Gurisha
Nipashe
Mawakili wanaounda jopo hilo ni Ipilinga Panya, Aliko Mwamanenge, Edson Kilatu, Emmanuel Ukashu, Joyce Mwakakila na Afrey Maunga. Watamhoji mjumbe huyo mbele ya Jaji Cyprian Mkeha wa Mahakama Kuu,...
17May 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
 Maafande wa JKT Queens ndiyo kwa kiasi kikubwa wanatabiriwa kutwaa ubingwa kutokana na kucheza mechi yao dhidi ya timu dhaifu inayoshika mkia, Mkwawa Queens, mechi itakayofanyika Uwanja wa...

Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila.

17May 2023
Na Waandishi Wetu
Nipashe
Mabadiliko hayo yanaonekana ya kawaida na yanalenga kuimarisha utendaji kazi serikali lakini kibarua kizito kinaonekana kumwelemea zaidi Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila. ...
17May 2023
Na Waandishi Wetu
Nipashe
***Nabi aanika mkakati mzito kuimaliza Marumo CAF, uongozi nao wageukia straika mpya...
Mei 10, mwaka huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, wakihitaji sare au kufungwa bao lisilozidi moja, itaporudiana dhidi ya Marumo Gallants nchini Afrika Kusini.Yanga itashuka kwenye Uwanja wa Royal...

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Jumanne Murilo, akiangalia hali ya usalama katika eneo la Kariakoo jana kutokana na mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea. PICHA: IMANI NATHANIEL

17May 2023
Halfani Chusi
Nipashe
Waziri Mkuu Majaliwa, juzi majira ya jioni alikatisha shughuli za bunge Dodoma na kufika kwenye soko hilo kusikiliza kero zao kujaribu kuzitatua, huku akiwaahidi kujadili kwa kina na viongozi wa...

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu.

17May 2023
Maulid Mmbaga
Nipashe
Waziri Ummy alibainisha hayo jana kupitia mtandao wake wa kijamii, kutokana na kuwapo kwa sintofahamu na mijadala inayoendelea kwenye mitandao ya kijami kuhusu kuibuka kwa ugonjwa wa UVIKO-19, nchini...
17May 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
 Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Miraji ambaye aliichezea Klabu ya Simba mwaka 2019 hadi 2020, alisema ni bahati iliyoje kurejea tena kwenye Ligi Kuu na kwamba ndoto yake ilikuwa kuwa...
17May 2023
Saada Akida
Nipashe
 Baada ya juzi kufanikiwa kuvuna pointi tatu dhidi ya Mtibwa Sugar, sasa Polisi Tanzania wanahitaji alama tatu dhidi ya Simba ambao watakutana nao Mei 24 na 28 watamaliza msimi na Azam FC mechi...

Waziri wa elimu, Prof. Adolf Mkenda.

17May 2023
Romana Mallya
Nipashe
Katika wasilisho la makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo jana bungeni, Waziri wake, Prof. Adolf Mkenda, alitaja maeneo yanayoguswa ni mageuzi katika Tehama na mafunzo yake huku walimu...

Bernard Membe , aliporudishiwa kadi ya CCM Mei 29,2022. Kushoti ni aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa Shaka Hamdu Shaka , akiwa kijijini Chiponda Rondo. PICHA: MTANDAO

17May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Anabakia kuwa mkosoaji wa Rais, Mwenyekiti wa chama chake ‘live’ Alifikirisha wengi pale alipoamua jambo lake
Membe ambaye alipozaliwa katika Kijiji cha Chiponda-Rondo, hakuna aliyejua kuwa alikuwa na maono makubwa kwenye siasa, amekuwa Naibu na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika awamu...

Ujenzi wa miradi duni ni matokeo ya viongozi na watendaji kuwa na maslahi kwenye maamuzi na mkono ndani ya utekelezaji. PICHA: MTANDAO

17May 2023
Faustine Feliciane
Nipashe
Badala ya kujali Tanzania yenye neema wanawekeza kwenye maslahi binafsi hata kusababisha utekelezaji wa miradi au shughuli za umma kuwa na ufanisi duni.Mazoea hayo huleta malalamiko mengi kutoka kwa...

Mwenyekiti UWT Taifa, Mary Chatanda akizungumza katika moja ya mikutano yake. PICHA: MTANDAO

17May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Jambo kubwa ni   kushinikiza Spika Dk. Tulia Ackson, kuwaondoa wabunge  hao ambao wameshafukuzwa uanachama CHADEMA na kupoteza sifa ya kuwa wabunge.Hata hivyo, maandamano hayo...
17May 2023
Ani Jozen
Nipashe
Mwanasiasa aliyegombea vyama viwili tofauti uchaguzi ukifuatana
Ila halikuwa jambo la ajabu kwani wapo viongozi wa kisiasa na wasomi wanaofahamika vyema walioondoka duniani wakiwa vijana hata zaidi, iwe ni kwa ajali au ni maradhi yaliyowashambulia  ghafla....

Pages