NDANI YA NIPASHE LEO

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu), Jenista Mhagama, Naibu wake, Patrobas Katambi na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Andrew Massawe, wakiwa katika kikao ambacho Taasisi chini ya Wizara ziliwasilisha taarifa kuhusu miundo na majukumu mbele ya Kamati ya Katiba na Sheria.

Kinara wa matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne 2020, Paul Luziga, akipunga mkono juu ya gari wakati alipopokelewa na msururu wa magari baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe (SIA), jijini Mbeya jana, akielekea shuleni Panda Hill kwa ajili ya kupongezwa na walimu pamoja na wanafunzi wa shule hiyo. PICHA: NEBART MSOKWA