23Mar 2023
Hadija Mngwai
Nipashe
Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu Bara, timu mbili zitakazoburuza mkia (ya 15 na 16), zitashuka moja kwa moja kwenda kucheza Ligi ya Championship msimu ujao, wakati zitakazomaliza nafasi ya 13...
23Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
Wachezaji wa Simba walioingia katika kikosi bora cha wiki cha Ligi ya Mabingwa ni Shomari Kapombe, Jean Baleke, Clatous Chama na Sadio Kanoute ikiwa ni baada ya kufanya vizuri na kusaidia Simba...
23Mar 2023
Pendo Thomas
Nipashe
• Dk. Kahemele aeleza undani, mhanga afunguka…
Kijana (jina tunalo) ni mhanga mwenye simulizi ya safari yake, alivyonasa hadi alivyochomoka, akinena alianza safari yake katika sura kwamba, baada ya kufariki baba yake akiwa na umri mdogo miaka 13...
23Mar 2023
Jenifer Gilla
Nipashe
Kuvulia nyavu plastiki kunavyoua kundi la samaki, viumbe kutoweka
Baadhi ya madhara yake ni kupotea kwa baadhi ya viumbe bahari, wakiwamo kobe wanaokufa kwa kujeruhiwa katika harakati za kujiokoa, baada ya kunaswa na nyavu. Uvuvi wa nyavu za plastiki...
23Mar 2023
Shaban Njia
Nipashe
Hata hivyo, kurejea na uhalisia bado kuna tatizo kubwa watoto wa umri huo kuendelea kufungishwa ndoa na hasa maeneo ya vijijini.Msukumo mkubwa wa matukio hayo, inaelezwa ni shinikizo la mila, desturi...
23Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Ofisi Makamu Rais yaanika hatua zake katika mazingira • Safari imeanza mkakati 2022 -32
Hizo zilizoondolewa zinajumuisha; malalamiko ya wafanyabiashara wa Zanzibar kutozwa kodi mara mbili na Kodi ya Mapato (PAYE) na Kodi ya Zuio (Withholding Tax).Pia, kuna suala la kuongezeka...
22Mar 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Hayo yalisemwa na Mbunge wa Jimbo hilo, Profesa Sospeter Muhongo na kufafanua kuwa upepo wenye kasi kubwa na mvua kubwa ulionyesha Machi 20 mwaka huu, vilisababisha kuwapo kwa dhoruba hiyo ilioleta...
22Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa uhalisia wa mazingira hayo unapokua mchezoni. Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakurejesha kwenye simulizi za mabingwa kuhusu juhudi zao za kushinda...
22Mar 2023
Christina Mwakangale
Nipashe
Queen aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam, akizungumza na waandishi wa habari, baada ya kukabidhiwa kazi ya kuwa Balozi wa Kampuni ya uuzaji magari ya BM.Alisema kwamba kwa kuzingatia mwezi huu...
22Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
...kuwa washindi wa kwanza, Tuzo ya Afya ya mwaka 2022 kwa nchi za Afrika Mashariki.Kadhalika, Watanzania wengine watano walioshinda tuzo hiyo ni Veronica Mrema kutoka blog ya matukio na maisha...
22Mar 2023
Beatrice Shayo
Nipashe
Akizungumza leo kuelekea Siku ya Maji Dunia nchini Tanzania, Mkurugenzi Mkaazi wa Shirika la WaterAid, Anna Mzinga, amesema mkakati huo utaanza mwaka huu hadi 2028 kwa ajili ya kuhakikisha kila...
22Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kushuhudia uzinduzi wa programu ya Serikali ya vijana, maarufu kama ‘Building Better Tomorrow’ (BBT) Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma...
22Mar 2023
Neema Hussein
Nipashe
Akizungumza katika mafunzo hayo, Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Pass Trust Herman Bashiri amesema wameamua kufanya kampeni hiyo ili kuiunga mkono serikali katika suala la...
22Mar 2023
Peter Mkwavila
Nipashe
Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Joseph Mafuru, alibainisha hayo jana alipokuwa akizungumzia mafanikio ya miaka miwili ya serikali.Mafuru alisema fedha hizo zimeelekezwa kwenye sekta ya afya,...
22Mar 2023
Restuta Damian
Nipashe
Walitoa ombi hilo wakati wa maadhimisho ya wiki ya maji wilayani Kyerwa, wakisema shughuli za kibinadamu zinazofanyika karibu na vyanzo vya maji zimekuwa zikiathiri vyanzo hivyo na kusababisha...
22Mar 2023
Cynthia Mwilolezi
Nipashe
Akizungumza jana na wakazi hao, Mongella alisema serikali katika kipindi cha miaka miwili, imefanya mambo mengi makubwa ikiwapo ujenzi wa madarasa kwa kila wilaya, ujenzi wa vituo vya afya,...
22Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
"Mmoja acheni waje".Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Wanawake ambao Yanga Princess ni mwenyeji, waamuzi watakaoamua mechi hiyo ni Jonesia Rukyaa atakuwa kati akisaidiwa na Janet...
22Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Yasema waje Mamelodi Sundowns, Wydad Casablanca, Al Hilal ama Esperance, safari hii tunaitaka...
Hivyo ili kutimiza azma hiyo wameanzisha kaulimbiu ambayo itatumiwa kuelekea kwenye mechi yao ya robo fainali, isemayo 'Tunavunja mwiko'.Jumamosi iliyopita, Simba ilifanikiwa kutinga hatua ya...
22Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
KOCHA Msaidizi wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Hemed Morocco, amesema maandalizi yanaendelea vizuri na wanamatumaini makubwa ya kufanya vizuri katika mchezo wa kutasaka nafasi ya kufuzu...
22Mar 2023
Shufaa Lyimo
Nipashe
Maarufu FA Cup pamoja na kumaliza nafasi tatu za juu Ligi Kuu Bara ili kuwa miongoni mwa zitakazopata nafasi hiyo.Timu tatu zitakazomaliza nafasi za juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, zitakata...