NDANI YA NIPASHE LEO

vijana waliohitimu.

18Mar 2023
Renatha Msungu
Nipashe
Hayo yamesemwa na Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele,wakati akihitimisha Mafunzo  ya Awali ya Kijeshi  kwa Vijana wa Kujitolea Operesheni Jenerali Venance Mabeyo  katika kikosi...
18Mar 2023
Romana Mallya
Nipashe
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Kamishna msaidizi (ACP) Mtatiro Kitinkwi, aliiambia Nipashe jana kuwa ajali hiyo ilitokea juzi majira ya asubuhi wakati’ ambulance’...
18Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
                                             Odds kubwa Wikiendi Hii Unajiuliza...
18Mar 2023
Vitus Audax
Nipashe
Mwanafunzi aliyefariki dunia ni wa Glory Faustine (14) wa kidato cha kwanza huku  Emmanuel Liatu (13) akivunjika mguu, baada ya kudondokewa na jiwe wakati wakitekeleza adhabu ya Mwalimu Mkuu ya...

MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Usharika wa Kijitonyama, Dk. Eliona Kimaro.

18Mar 2023
Mary Geofrey
Nipashe
Mchungaji Kimaro jana alishiriki ibada ya masifu ya asubuhi (Morning Glory) baada ya kuwa l ikizo aliyopewa kuanzia Januari 16, mwaka huu. Awali, aliambiwa baada ya kumaliza likizo hiyo, anatakiwa...
18Mar 2023
Daniel Limbe
Nipashe
Magufuli alifariki dunia Machi 17, 2021 wakati akipatiwa matibabu ya moyo katika Hospitali ya Emilio Mzena, Dar es Salaam, hali ambayo ilitikisa nchi na kuibua simanzi kwa wananchi. Hali hiyo...

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Waziri Kindamba.

18Mar 2023
Oscar Assenga
Nipashe
Katika uchaguzi huo, CWT imejaza nafasi za Makamu wa Rais na Naibu Katibu Mkuu, huku kikikwepa kujaza nafasi za Mweka Hazina na Katibu Mkuu zilizozuiwa na mahakama. Jana, CWT ilifanya mkutano...
18Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Bao la Marcus Rashford mapema katika kipindi cha pili lilithibitisha tofauti katika mchezo huo wa mkondo wa pili uliochezwa juzi wakati United ilipofuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Europa kwa...
18Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
***Asema nguvu zote sasa zielekezwe katika mbio za kuwania kombe hilo ambalo...
Penalti iliyokoswa na Gabriel Martinelli ilipelekea washikabunduki hao kutolewa katika mechi ya mkondo wa pili ya hatua ya 16 bora kwenye Uwanja wa Emirates, baada ya kutoka ya mabao 2-2 katika...
18Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
 Ofisa Habari wa Prisons, Jackson Mwafulango, alisema jana wameandaa mikakati kabambe ya kuhakikisha wanashinda mechi hiyo.Mwafulango alisema wanajua Ruvu Shooting haipo katika nafasi nzuri...
18Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
 Yanga Princess iliambulia suluhu dhidi ya Mkwawa Queens inayoburuza mkia katika Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania.Mbuna alisema matokeo hayo yalitokana na wachezaji wake kushindwa kufuata maelekezo...
18Mar 2023
Tumaini Mafie
Nipashe
Masanya aliyasema hayo jana jijini hapa wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ilipotembelea miradi ya UVIKO- 19 katika makumbusho ya Azimio la Arusha na elimu viumbe Arusha....
18Mar 2023
Cynthia Mwilolezi
Nipashe
Dk. Kiruswa alifanya uzinduzi huo jana kwenye jukwaa la pili la utekelezaji wa ushirikishwaji wa Watanzania katika sekta ya madini linaloendelea jijini Arusha, lililokutanisha kampuni za uchimbaji wa...
18Mar 2023
Renatha Msungu
Nipashe
Waziri Kairuki aliyasema hayo juzi wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) uliofanyika jijini Dodoma uliokwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo wa...
18Mar 2023
Paul Mabeja
Nipashe
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Hifadhi wa TANAPA wa Ofisi ya Kiunganishi Dodoma, Dk. Noelia Myonga, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa shughuli...
18Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Kiwango kikubwa kuliko Ligi Kuu ya sasa, usela mwingi, ngumi nje nje
Ni miaka ambayo soka la Tanzania lilikuwa juu sana, ambalo lilipamba moto miaka ya 1960, kiasi cha nchi hii kuwa juu sana kimichezo.Leo tutaziangalia klabu na timu zao za mitaani, ambazo mashabiki...

Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa.

17Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Rai hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa leo Machi 17, 2023 alipotembelea na kuzungumza na wachimbaji katika eneo la ajali ya wachimbaji wadogo waliofunikwa na kifusi na...
17Mar 2023
Faustine Feliciane
Nipashe
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jana, Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC,  Dk Nicolaus  Shombe, alisema ushirikiano huo utafanyika kupitia kiwanda cha kuzalisha mitambo cha Kilimanjaro...
17Mar 2023
Elizabeth John
Nipashe
Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo,Japheth Hasunga mara baada ya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo barabara ya Njombe kwenda Makete yenye urefu wa kilomita 107...

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba.

17Mar 2023
Thobias Mwanakatwe
Nipashe
Akizungumza leo Machi 17,2023 wakati akizindua mradi wa maji uliojengwa katika kata ya Unyambwa kwa gharama ya zaidi ya Sh.milioni 622, amesema ili SUWASA iendelee kutoa huduma vizuri ya maji,...

Pages