NDANI YA NIPASHE LEO
_0.jpg?itok=XVY3lbrW×tamp=1656585470)
Rais wa Schneider Afrika Mashariki, Carol Koech,(katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam katika shughuli maalum iliyolenga kuzindua vifaa vya Homaya Pro na Mobiya Original Kushoto ni Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa kampuni ya Schneider, Geraldine Sande na kulia ni Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa kampuni hiyo Olivier Jacquet

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dk. Ally Laay (wa tatu kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kushoto) wakikabidhi mfano wa hundi kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba (katikati) ikiwa ni sehemu Gawio la Serikali lililotolewa na Benki ya CRDB, katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma jana. Wengine pichani ni Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – Tamisemi, David Silinde (wa pili kulia), Naibu Waziri wa Kazi, Ajira, Vijana, Patrobas Katambi (kulia) pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru.