Biashara »
WAKULIMA wa viazi mviringo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, wameiomba serikali kuwadhibiti...
WAKULIMA wa tumbaku waliokuwa wanakosa mahali pa kuuza mazao yao kutokana na uhaba wa wanunuzi...
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi, imekiri kupungua kwa samaki katika Bwawa la Nyumba ya Mungu huku...
WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe, amewaagiza wakuu wa mikoa kufuatilia mashamba yote na idadi ya...

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dk. Ally Laay (wa tatu kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kushoto) wakikabidhi mfano wa hundi kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba (katikati) ikiwa ni sehemu Gawio la Serikali lililotolewa na Benki ya CRDB, katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hazina, jijini Dodoma jana. Wengine pichani ni Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – Tamisemi, David Silinde (wa pili kulia), Naibu Waziri wa Kazi, Ajira, Vijana, Patrobas Katambi (kulia) pamoja na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru.
Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amepokea gawio la Shilingi bilioni 36.1...
Maafisa wa Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha Diaspora wamefanya ziara katika nchi za Ulaya...
WIZARA ya Fedha na Mipango, imesema bidhaa za chakula na mboga halisi zinazotoka Tanzania Bara...
BUNGE limeelezwa hatua nne za kiukaguzi wa miamala ya uhamishaji wa bei ya mauzo ya bidhaa na...
MKUU wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, Thomas Apson, amesema atakutana na kampuni...
WANUNUZI wa madini nchini wameiomba serikali kufikiria kupunguza viwango vya ada ya leseni...
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki, amesema serikali imejipanga kununua injini 320 za...
KAMPUNI ya Panda Hill Tanzana Limited, imetenga Sh. bilioni 14 kwa ajili ya kuhamisha Gereza la...